FAT RUDUCING GRILL
MAFUTA KIDOGO CHAKULA KIMEIVA
LINATUMIA UMEME
170,000/=
TLDELIVERY IPO KWA DAR NA MIKOANI TUNATUMA PIA
TUPO K.KOO CHINA PLAZA
#0717_062242
#0757_562378
karibuni sana...
Nahitaji earphones nipo arusha
Sinunui reja reja nanunua jumla kuanzia piece 5 na kuendelea hivyo nahitaji kWa bei ya punguzo kama unazo dukani
na pia ziwe za aina yoyote za bei rahisi kama unazo...
Habari midaa hii wadau wa JF
Kwa wale wakazi wa Arusha, natafuta Shamba la kununua kama Heka 3 maeneo ya Mlangarine au Manyire.....Mwenye kujua naomba anipe msaada...
Wasalaaam
Habari za jioni wajasiriamalu wenzangu,
Naomba kwa wazoefu/wajuvi wanifahamishe gharama za utengenezaji wa sabuni ya unga kama kilo 10 - 20 hivi.
Nitashukuru sana wadau
FULL HD
LED TV
_USB PORT
_VGA.PORT
_HDMI.PORT
2 years warrant
43"
900,000/=
#0713_584993
#0759_976357
calls & whatsap
DELIVERY.IN.DAR.NA MIKOANI TUNATUMA PIA
TUPO K.KOO CHINA PLAZA
KARIBUNI SANA
Tela la trekta lipo sokon, uwezo wa kubeba mzigo wa tani zaid ya 5. Tela ipo morogoro mvomero bei 4.3million maelewano yapo kwa mawasiliano 0714268444 au 0716590309.
<br /><br /><br />
Asante kwako wewe uliyetumia japo dakika kufungua huu uzi. Belle/frida Co.ltd ni wasambazaji na wauzaji wa maharage yenye ubora wa hali ya juu. Aina za maharage tulizonazo kwa sasa ni ...
Wanandugu poleni na majukumu na tunashukuru mungu hatujatumbuliwa vibarua vyetu.kwanza nishukuru kwa mchango wenu wa mawazo mazuri kuhusu kununua Korosho debe moja kwa matumizi ya nyumba...
Naitaji gari nzuri iliyotumika lakini iwe ipo katika hali nzuri.
Iwe na sifa zifatazo
Cc zisizidi 1500
Gari iwe namba D au C iliyo katika hali nzuri
Isiwe imepata ajari
Isiwe imerudiwa...
Pata machine ya juice ya miwa ya umeme bado mpyaaa bei poa kabisa 700000 tu imetumika mwezi mmoja tu ....machine ni ya umeme ipo katika hali nzuriiii no ya
Piga simu 0717178455
bei laki 7 tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.