Usisahau kuwa na drivers pia maana baada ya hapo unaweZa kukosa sauti, screen ikawa inaonyesha vibaya wireless haisomi na mengine mengiNaombeni. Kujua na kuuliza. IPI ni window bora kwa PC ya Duo2 pia RAM 2GB
Swali LA pili. No hatua zipi za kufata wakat wa kushusha window 8 kuweka window 10 msaada jaman