Nauza sabuni za magadi kutoka Kigoma

Nauza sabuni za magadi kutoka Kigoma

alshirazy

Member
Joined
Jul 10, 2017
Posts
56
Reaction score
7
Kama tangazo linavyojieleza nauza sabuni za magadi toka kigoma ni nzuri kwa kufilia kuoshea vyombo na hata kuogea ulipenda

Bei kwa mche sh 1500
Kwa katoni ni sh 30000

Sabuni zinapatikana dar es salaam
Pia zinapatikana tanga lushoto mlalo pia

Mawasiliano

Piga simu

0716 444 555

0736 333 888

Karibuni sana wadau mniungishe kufanikisha
 
Back
Top Bottom