Kwa mahitaji ya workstation Desk karibu Autoguru Workshop
Tunapatikana Kinondoni Manyanya mtaa wa Brazil
Wahi uweke order yako sasa na upendezeshe ofisi yako
Tuwasiliane kwa 0688767668/0715967107
Kiwanda kipya cha kusaga na kukoboa nafaka kilichopo Mbezi Luis DSM kinakodishwa. Kiwanda hiki kina machine za kusaga, kukoboa, na kupeta mahindi. Pia kina machine ya kushona mifuko/viroba.
Kina...
Hello JF natafuta application ya kufanya record keeping especially financial record keeping. Mfano kama mkulima aweze kurecord data zake za kilas iku zinazohusia na na kilimo chake meaning mapato...
Wenye kuhtaji bidhaa mbali mbali za kitamaduni na asili kama bakuri,sahani,vikombe vilitengenezwa kwa mazao asili ya miti ya kitanzania karibuni sana hapo chini ni mfano wa bakuri wenye kuzihtaji...
Rejea kichwa cha habari hapo juuu nahitaji laini ya uwakala wa mpesa iliyofit kalikiti kwenye matumizi nipo Dar ubungo plz fanya fasta fasta tupige buzness 0712046405
Jipatie Simu Mpya za
Huawei Y6 pro kwa Tsh. 160,000/=
Huawei Y6II kwa Tsh 420,000/=
Samsung J3 kwa Tsh 320,000/=
Power bank kwa Tsh 50,000/=
Nokia 520 kwa Tsh100,000/=
WIFI E5878 kwa Tsh...
Hellow wapendwa!
Kwa furaha kubwa napenda kuandika makala hii kwa kifupi kuwajuza kuwa kampuni yetu toka nchini Uphilipino imeguswa na ukosefu wa Ajira/kuwa na kipato kisichokidhi mahitaji kwa...
Habari wana jamii.
Katika pitapita zangu nimekutana na habari inayosema jeshi la magereza linatengeneza viatu vya ngozi vizuri sana kwa ustadi mkubwa
Huku moshi.
Viatu hivi ni kwaajili ya maafisa...
Tuwasiliane kama unayo au unafahamu duka lolote la uhakika kwa hapa DSM
Iwe na graphics card ya Nvidia(4GB+)
Ram 8GB au 16GB(recommended)
HDD - 1TB, Iwe na SSD japo 100GB+
Processor core i5/i7...
Habari za jioni wadau.kama kichwa cha habari kinavyoeleza.Nahitaji milango ya aambayo ilikuwa inapatikana maduka ya jeshi wanaita milango ya kichina.mwenye uzoefu na mahala inapopatikana na...
Je, wwe ni mfanya biashara ambae unataka kurasimisha (formalize) biashara yako? Je unataka kufungua NGO, trust, CBO, church or any charitable entity? Je unataka msaada wowote wa namna ya kusajili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.