habarini wadau, kama kichwa kinavyo jieleza, nahitaji kufanya biashara ya kuchukua mzigo wa rasta kiwandani na kupeleka mikoani nikauze kwa bei ya jumla, kama kuna mtu anafahamu utaratibu wa...
Za leo wakuu, Mimi ni mjasiriamali nipo dodoma,ninataka kufungua kiwanda kidogo cha kutengeneza furniture za kisasa lakini sina uzoefu wowote,,,,nataka kijana anayejua kutengeneza sofa za...
Habari wakuu??
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mm ni mkazi wa Dar es salaam nmebuni kitu fulani lakin nahitaj capital ya kuniwezesha kuanza so kwa anaefaham sehem ninayoweza kupata loan...
Wakuu salam zenu,,,,,,
Katika pita pita zangu nimesikia ya kuwa kuna benki nchini inakopesha pikipiki kwa kianzio cha laki 4,,,,
Mwenye kujua zaid atujuze jaman
Ahsante, Nawasilisha
Habari wadau,
Kwa muda mrefu nmekuwa nkijaribu kutafuta duka la pikipiki ambalo linauza kwa mkopo kwa kulipia kila mwezi bila mafanikio.
Nataka nijaribu kwa kupitia JF kama nitafanikiwa kupata...
Habari wadau,nauza maziwa ya ngombe fresh kwa bei ya sh 2000 ,maziwa mtindi 3000 kwa kila Lita,kama utachukua kila siku being inaweza kushuka .
Mayai ya kienyeji tray 15,000
Ninaishi kiluvya...
Waheshimiwa,
Mimi nipo Dar es Salaam na naomba msaada kwa yoyote aliye na ushauri au maelezo ya jinsi ya kupata pikipiki mpya aina ya boxer nitakayokuwa nailipia kwa wiki au mwezi.
Kama kuna...
Kama kawaida network marketing ndio mfumo pekee wa bbiashara ambao unaweza kukuingizia kipato cha kutosha.
Kutokana na sababu kuu mbili ambazo ni:-
-unaingiza kipato kupitia kazi zinazofanywa na...
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans.
Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi
Karibu sana
0654919121
0758919121
0622060797
0683928358...
Habari wadau nina mahitaji ya camera aina ya canon au Nikon iwe katika conditions nzuri
napatikana dar es salaam.
contacts 0625503796/0763175222
email: sstansloustheobard gmail.com
Kama heading inavyojieleza wakuu nauza kuku wa kienyeji kutoka singida kwa bei zifuatazo
(1) Tsh 12000 mtetea
(2) Tsh 16000 jogoo
Kwa maelezo zaidi nifuate PM
Habari wadau,
Kwa wale wapenzi wa mahindi mabichi ndio mda wake, kama kuna mtu anachoma mahindi karibu tuongee kwa bei poa zaidi.
Nipo Kibamba 0713 765 667
Hellooo!
Tunauza 'cargo belt' zenye ubora wa hali ya juu sana kwa bei ya Tsh 25,000 kwa mkanda mmoja! Maongezi yapo kwa anaechukua mikanda kuanzia 50 pcs
Maelezo ya mkanda
1. Urefu mita 10
2...
Infinix zero 5=670,000
Zero 4&s2
Hot 4&5=230000 kwa 270000
Note4&2
Location Arusha, Namanga
Calls or WhatsApp 0753093869
Specifications za zero 5 ,hpa sumsung s8 wanasubir
6GB RAM
64GB...
Ni mikanda imara na inadumu sana
Hii huvaliwa na jinsia zote
Hutumiwa pia na wale waliojifungua na ambao bado
Ukivaa unaonekana smart kwani huondoa nyama zote zembe
:):):):):):)
Ipo ya hooks...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.