Wapi naweza kupata mkopo kwa masharti nafuu??

Wapi naweza kupata mkopo kwa masharti nafuu??

luqman luqman

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2014
Posts
850
Reaction score
1,404
Habari wakuu??
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mm ni mkazi wa Dar es salaam nmebuni kitu fulani lakin nahitaj capital ya kuniwezesha kuanza so kwa anaefaham sehem ninayoweza kupata loan ansaidie.
Nawasilisha.
 
Labda tuambie masharti yapi hauyataki au kwako unaona magumu,pili kiasi gani unahitaji 3 upo mkoa gani?4 unataka dhamana gani kuweka 5 mkopo gani unahitaji salary loan au bsness loan n.k...
Ili wadau waweze kukusaidia
 
Nahitaj 3M nko Dar es salaam nataka kuweka gari na nahitaji business loan.
 
Nenda Chadema chukua kadi ya Chadema Kisha nenda CCM kawauzie kadi ya Chadema waaambie kuwa una watu zaidi ya mia Tatu watakufata CCM utakuwa umefanya biashara nono hiutaki tena mkopo
 
Back
Top Bottom