Kwa wale wapenzi wa networking hii ni kampuni nzuri

Kwa wale wapenzi wa networking hii ni kampuni nzuri

Omuziba

Member
Joined
Jun 30, 2017
Posts
57
Reaction score
12
Kama kawaida network marketing ndio mfumo pekee wa bbiashara ambao unaweza kukuingizia kipato cha kutosha.
Kutokana na sababu kuu mbili ambazo ni:-
-unaingiza kipato kupitia kazi zinazofanywa na timu yako hebu fikiria nguvu kazi inayofanywa na watu 100000 kwa ajili yako hata kama ni ndogo kivipi haiwezi huwezi kuilinganisha na kazi inayofanywa na mtu mmoja

2.Pia network marketing inahusisha utandawazi(globalization):-Katika mfumo huu wa biashara unaweza kukuza biashara yako katika nchi tofautitofauti ulimwenguni na kuendelea kukua bila kikomo

Lakini ukiwa unachagua kampuni ya kufanya nayo kazi angalia vigezo vifuatavyo:-
1.Angalia mfumo wake uko unaridhisha. Kama ilivyo katika kampuni ya AIM global inayo compasation plan nzuri na ndo maana kila mwaka inaoongoza kwa mauzo ya jumla kwa sababu watu wengi wanazidi kujoin kutokana na mfumo wake mzuri wa biashara

2.kigezo kingine angalia huo mfumo umedumu kwa muda gani. Na je umehakikiwa na MLMIA(Multilevel marketing international association)-shirika linalosimamia makampuni yanayojihusisha na biashara ya mtandao ulimwenguni. Ili kuepuka mfumo kushindwa kufanya kazi na hivyo kukufanya upigwe hasara.
Kama ilivyo kwenye kampuni ya AIM global. .mfumo wake wa biashara umedumu kwa muda mrefu zaidi ya miaka kumi.
Toka 2006 mpaka sasa bado mfumo unafanya kazi vizuri na unaendelea kuwafanya watu wawe millionares. Pia mfumo umehakikiwa na MLMIA.
4.Je kuna watu umewaona wamenufaika na huo mfumo.
Katika kampuni ya AIM global wapo watu wengi sana ambao wameweza kukuza uchumi wao baada ya kuingia kwenye kampuni ya AIM global. Wapo watu wenye miaka miwili kwenye kampuni laki mpaka sasa wanao uwezo wa kuingiza hadi milioni saba kwa siku
5.Je kuna watu unawaheshimu na unaowaamini.katika kampuni ya AIM global tunao watu wengi wenye heshima zao na wanaoaminika. Wapo madaktari,wapo wahandisi,walimu n.k
Karibuni sana kwenye AIM global ni kampuni inayoaminika na inao viongozi makini, wanaoifanya iwe kampuni bora ya mwaka kwa mauzo ya jumla kila mwaka tokea 2013-mpaka sasa.
Kwa wale tu ambao wako interested kusikiliza semina juu ya kampuni hatimaye kujiunga unaweza ukanitext kwa whatsapp 0757409103 nitakuelekeza zaidi pamoja na kituo cha kufanyia semina kwenye mkoa wako
 
hii fursa umeshawashirikisha ndugu zako wa karibu????????...[emoji3] [emoji3] [emoji3]

maana wanasema charity begins at home.
 
Tupishe kidogo! Tunamalizia FOREX kwanza
 
Mkuu unamatarajio ya kufikisha watu 100000 baada ya muda gani?
 
naona unafanya matangazo ya AIM global
hujaengelea networking nyngne zaid ya hyo mzee
 
Alliance in Motion Global Inc Review: Legit or a Pyramid Scheme? - Elite Affiliate Hacks
pyramid-scheme.jpg
 
Nimekuja fasta, kwa kuvutiwa na kichwa cha habari...
Nikidhani unamaanisha networking ya computer engineering!!
 
Hebu tutajie hao mamilionea
Mbona wapo wengi come in box nikutajie.
Nikutumie had dashboard zao.
Mfano mzuri ni Elias Muhooz , Eng.Dancan kamkama kutoka Uganda, Damiana Nyamai kutoka Kenya na wengine wengi wana miaka miwili kwenye kampuni lakini sasa hivi wanauwezo wa kuingiza milioni saba kwa siku. Kama unataka dashboard zao kuamini. zaidi nakutumia njoo whasapp maana kuamini kwa mwafrika mpaka aone. Au nenda semina uone mwenyewe
 
Angalia vizuri huyo aliyepost ni wa kampuni gani. Aliyepost ni wa kampuni wa Affiliate wealth. Unajua MTU anayejiamini kuwa yuko salama au huwa anajinadi yeye kama yeye. Ukiona mtu anajinadi kwa kumtukana mwingine au kumtengenezea kashfa mtu mwingine. Ujue yeye ndo ana kasoro anataka amkashfu mtu anaye mzidi sifa yeye aweze kupenya kitu ambacho hakiwezekani.
Hebu soma na comment za watu uone kwamba hata wasemeje AIM global itaendelea kuwa juu

Ukweli ni kwamba AIM global itaendelea kuwa kampuni bora ya Mwaka kila mwaka kama ilivyokawaida yake toka 2013.
Na itaendelea kukuza uchumi wa watu kama ninavyoiona
 
Angalia vizuri huyo aliyepost ni wa kampuni gani. Aliyepost ni wa kampuni wa Affiliate wealth. Unajua MTU anayejiamini kuwa yuko salama au huwa anajinadi yeye kama yeye. Ukiona mtu anajinadi kwa kumtukana mwingine au kumtengenezea kashfa mtu mwingine. Ujue yeye ndo ana kasoro anataka amkashfu mtu anaye mzidi sifa yeye aweze kupenya kitu ambacho hakiwezekani.
Hebu soma na comment za watu uone kwamba hata wasemeje AIM global itaendelea kuwa juu

Ukweli ni kwamba AIM global itaendelea kuwa kampuni bora ya Mwaka kila mwaka kama ilivyokawaida yake toka 2013.
Na itaendelea kukuza uchumi wa watu kama ninavyoiona

Wakati wenzio wanaunga watu wewe sijui ulikua wapi

Najua uko chini kabisa ya pyramid ndio unatafuta wa kuwaunga lakini niseme tu pambana na hali yako upande pande juu na wewe ule hela za walio chini yako
 
Fursa ya kupiga pesa chap chap lakini hapo hapo unataka kila mtu aifuate hiyo fursa??

Fursa ni jambo Adimu, lililojificha, mahususi kwa wachache tu na lina ukomo wake.

Kuwa muwazi tu, kwa kusema unatafuta maboya ya kukufanya uweze kuelea. It is pure pyramid scheme.

Hakunaga pesa ya faida kama hauzalishi chochote, ukiona unaweza kuvuna pesa pasipo kuzalisha chochote(Huduma au Bidhaa, kuuza au kununua) basi ujue kuna watu hapo wanalizwa kimya kimya.
 
Back
Top Bottom