Natafuta Pikipiki za Mkopo

Natafuta Pikipiki za Mkopo

Conrad84

Senior Member
Joined
Feb 14, 2016
Posts
104
Reaction score
43
Habari wadau,
Kwa muda mrefu nmekuwa nkijaribu kutafuta duka la pikipiki ambalo linauza kwa mkopo kwa kulipia kila mwezi bila mafanikio.

Nataka nijaribu kwa kupitia JF kama nitafanikiwa kupata taharifa. Miye ni mjasiliamali ambaye kazi zangu bila pikipiki haziendi. Pikipiki nayohitaji ni ya kawaida kabisa Fekon ama SanLG

Natanguliza shukrani.
 
mkuu km ni mwanza ukiipata sehem tupeane taarifa
 
Kama uko dar Nenda kinondoni mtaa ufipa Kuna jamaa anashusha pikipiki nyingi toka China na anakopesha kwenye vikundi...Nahisi anategemea kushusha kontena la piki piki....jamaa anapatikana mtaa ule ule ilipo makao ya chadema..

Ova
Habari wadau,
Kwa muda mrefu nmekuwa nkijaribu kutafuta duka la pikipiki ambalo linauza kwa mkopo kwa kulipia kila mwezi bila mafanikio.

Nataka nijaribu kwa kupitia JF kama nitafanikiwa kupata taharifa. Miye ni mjasiliamali ambaye kazi zangu bila pikipiki haziendi. Pikipiki nayohitaji ni ya kawaida kabisa Fekon ama SanLG

Natanguliza shukrani.
 
Kama uko dar Nenda kinondoni mtaa ufipa Kuna jamaa anashusha pikipiki nyingi toka China na anakopesha kwenye vikundi...Nahisi anategemea kushusha kontena la piki piki....jamaa anapatikana mtaa ule ule ilipo makao ya chadema..

Ova
Mkuu vp huyu jamaa bado anaendelea kukopesha au ameacha ?
 
Back
Top Bottom