Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,397
- 3,884
Waheshimiwa,
Mimi nipo Dar es Salaam na naomba msaada kwa yoyote aliye na ushauri au maelezo ya jinsi ya kupata pikipiki mpya aina ya boxer nitakayokuwa nailipia kwa wiki au mwezi.
Kama kuna taasisi, kikundi au kampuni inayoweza kunisaidia katika hili.
Natanguliza shukrani.
Mimi nipo Dar es Salaam na naomba msaada kwa yoyote aliye na ushauri au maelezo ya jinsi ya kupata pikipiki mpya aina ya boxer nitakayokuwa nailipia kwa wiki au mwezi.
Kama kuna taasisi, kikundi au kampuni inayoweza kunisaidia katika hili.
Natanguliza shukrani.