Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ni mchele uliothibitishwa na wataalamu wa lishe na madaktari ulimwenguni mweote kuwa unawafaa watu wenye kisukari. Sasa unapatikana nchini Tanzania. Kwa aliye na nia nao na ana hitaji . Ani PM...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Heshima kwenu wote, Dereva mzoefu na mwaminifu mwenye zaidi ya miaka 25 ya udereva, anatafuta gari ya kuendesha na kupata ridhiki,ana uzoefu wa kuendesha gari aina zote kuanzia malori makubwa...
0 Reactions
2 Replies
888 Views
Wadau wa kilimo,nina shamba langu ekari 5 linapatikana maeneo ya kingolwira,umbali wa kama km 20 kutoka main road,(Dar - Moro). Pnafikika vizuri kabisa kwa usafiri wowote,ninauza kwa sababu nina...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Wakuu habari nimeamua kufunga ofisi yangu kutokana na biashara kuwa ndivyo sivyo, nina meza kubwa,printer,cabinet na meza ya reception na kiti cha reception,pamoja na viti vya wageni vinne, bei ni...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Wadau, Nina muhogo eka mbili upo tayari kwa ajili ya mavuno na kuuzwa kwa anaetaka ni muhogo kutokea njia ya digo Tanga na ni mtamu haswa. Kwa anaetaka tuwasiliane PM au kama kuna mtu anajua...
1 Reactions
5 Replies
866 Views
Bitclub ni campany inayohusika na trading ambayo inafanya kazi ya kununua na kuuza coin (inanunua coin za kidigital kwa bei ya chini na ikipanda kuuza kwa bei ya juu) DOLLAR KILA SIKU ZINAINGIA...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
S6 edge 32gb original bado kwenye box. Full n.a. accessories zote. Fast charger iko ndani. Warranty 1year. Kwa mahitaji ya simu za uhakika na kwa uaminifu tuna deliver. Call:071730913/0625518320...
1 Reactions
2 Replies
675 Views
Hodi wadau wa JF. Naomba kuulizia nawezaje kumpata mpiga picha (still pictures) na video za shughuli za harusii mjini Dodoma. Kwani natarajia kuwa na shughuli ya harus mjini Dodoma. Vile vilee...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
http://kilizonetz.com is the Tanzania fastest growing free online and mobile web based classifieds platform that offer a flexible and efficient market place for buyers and sellers to meet.We offer...
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Wakuu habari za humu ndani nahitaji kununua gari Hurrier model ya zamani. kidogo ikiwa na matunzo bora. 1.Iwe na utumiaji mzuri wa mafuta. 2. Isiwe imewahi funguliwa injini. 3. Iwe na rangi...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Want to do business online?Register your business and start selling your products or services on Bigmarket.co.tz. Show case your work ,link your project portfolio increase trust and sell more...
1 Reactions
0 Replies
633 Views
za aina hii mwenye nazo call 0753358283 nipo MWANZA pia na hii bei maelewano
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Natafuta used laptop Arusha. Budget 250K. CONTACTS - 0714486466
0 Reactions
2 Replies
578 Views
Kichwa cha habari kinahusika. kiwe kimepimwa na hati mkononi, tambale na ukubwa usiopungua sqm 1200. bei inaanza 15m. kisiwe mbali sana na barabara. njoo pm chapu tumalize biashara ukalipe ada za...
0 Reactions
2 Replies
742 Views
Kitanda 5*6 Kinauzwa Bei yake ni 150,000 fixed. Kinapatikana Survey karibu Na Chuo cha Ardhi. Anyone interested contact 0788698640 Updates:Deal done.Bidhaa imeshauzwa.Asanteni wote
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Ni aina ya Huoniao(HN-125) ipo kwenye hali nzuri kabisa, Ikiwa unatafuta pikipiki ya kununua, basi umepata, Tuwasiliane 0693347206
0 Reactions
94 Replies
18K Views
Habari, Kwa yeyote anaehitaji kutumia number ya US kwenye whatsapp tafadhali ni PM. Gharama kidogo utatozwa ambazo ni 10$, gharama hii utalipa kwa mtu aliepo hapa Bongo baada ya kujihakikishia...
0 Reactions
93 Replies
10K Views
Habari wana jukwaa. Kwa miaka kadhaa nimekuwa mfugaji wa kuku hususani kuku wa kienyeji, chotara na broilers ila kwa miaka ya karibuni nimejikita zaidi kwenye kufuga broilers. Kwa mara kadhaa...
1 Reactions
1 Replies
774 Views
Kama kawaida, tumedondosha tena mzigo wa kutosha, Kwa tsh 250,000/= tu jipatie laptop yako kati ya hizi. Zipo min hp, min dell, min sumsung, min toshiba na min lenovo, pia tuna dell latitude D 620...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Pata GB 5 za halotel za kutumia wiki nzima kwa 4000/= Njoo Pm. NB: Malipo ni kabla ya huduma, unalipa pesa unatuma namba unaunganishwa sababu ya kufanya hivi ni kuwa niliwahi kuleta offer hii kwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom