Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu, Nina Fremu nauza kama unataka kuweka screen kwenye gari yako Altezza/Lexus is200/300. Bei ni 70,000 tu Pia nauza OBD2 Bluetooth diagnostic scanner kwa bei ya 30,000 (Inakuja na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa ekari 5.2 kinauzwa Dodoma mkabala na NHC Iyumbu Estate Centre ambapo rais alizindua mradi wa Iyumbu Estate Center na kununua nyumba 60. Mradi wa NHC ni nyumba 300. Eneo...
1 Reactions
38 Replies
7K Views
Je wewe ni mjasiliamali ungananami upate ujuzi ninafundisha kutengeneza tomato wine,kutengeneza gam ,chili juice na kukausha mboga kwa madray ya kisasa kutengeneza batiki mbalimbali nimesapewa...
0 Reactions
2 Replies
804 Views
Kitanda kipo Tegeta Kibaoni DSM karibu kabisa na Kibo complex. Bei ni 160,000 tu,maelewano yapo.0714-796778 au whatsapp 0628-615685
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Kama kichwa kinavyojielezea hapo juu nauza line za uwakala MPESA na Tigo Pesa line zinafanya kazi kabisa nikikupa wewe ni kuanza kazi tu na nimezitumia karibia miaka miwili na sijawahi pata tatizo...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Tunambolea aina ya samadi mbolea za kisas kam DAP,UREA,CAN,MINJIGU,S.A tunambegu nzuri za kisas za mahind ,nyanya na mbogamboga na tunatoa mafunzo ya ujasiliamali kutengeneza wine ya nyanya TOMATO...
0 Reactions
0 Replies
708 Views
Habari zenu ndugu zangu Napenda kuwajuza kwamba kama unatatizo lolote katika gari yako linalohusiana na Umeme kama vile, taa ya check engine, gari kukosa Nguvu pia kama unataka kufungiwa sound ya...
0 Reactions
0 Replies
692 Views
jipatie kuku wa nyama kwa bei ya 8500 kwa maeneo ya ruaha mrogoro chuo cha sukari nicheki kwa namba ya 0759082811
0 Reactions
2 Replies
902 Views
Nina uhitaji wa line za tigo pesa, m-pesa na airtel money kwa yeyote aanayeuza , akanisaidia kuzipata kwa urahisi
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwamatangazo:kama Motion graphic advertise Digital advertise Radio advertise Television advertise Website developer
0 Reactions
0 Replies
566 Views
Habar wana JF, Kama kuna mtu ana simu ya :- Nokia 515 ( Double Line) Nokia 215 ( Double Line) Nokia 220 ( Double Line) Aje inbox tufanye biashara na asiwe mbabaishaji.
0 Reactions
2 Replies
679 Views
Kuna mashine ya Maxmalipo inauzwa iko shinyanga bei Tshs 350K. Imetumika muda wa mwaka mmoja. Iko katika hali nzuri. Mwenye uhitaji ni PM
0 Reactions
4 Replies
899 Views
Karanga safi zinauzwa kwa bei Poa wanajamii forum, kwa yeyote mwenye uhitaji tuwasiliane 0789 131 324. Asanteni sana.
0 Reactions
6 Replies
933 Views
Unapata app kwa ajili ya blog ya WordPress Puss notification Admob ads Bei tzs 50,000/= 0719658086
0 Reactions
2 Replies
784 Views
Jipatie domain name ya .com kwa bei ya tzs 15,000 kwa mwaka. Mawasiliano 0719658086
0 Reactions
1 Replies
748 Views
Wengi hulipa mainjinia pesa nyiiingii saaana na kushindwa kumaliza ujenzi wao salama kutokan na labour charge kuwa juuuu saana. Wasiliana nami 0753093869 popote nafika. Sasa utaweza kujenga...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Shamba lipo magoza. Ukifika njia panda mvuti dar es salaam unaelekea upande wa kushoto utafika hadi shamba la mageleza magoza. Ukitoka magoza unatafuta mtaa wa mji mpya. Shamba linauzwa milioni...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
HP PAVILION core i3 RAM 4gb Hdd 500gb processor 2.4 Ghz PRICE 570k HP PAVILION CORE i5 Ram 4gb Hdd 500 gb Processor 2.4 ghz Price 680k Dell inspiron core i7 pia zipo TEL 0719 551 375 PC...
1 Reactions
0 Replies
412 Views
Habari, Husika na kichwa cha habari hapo juu.Nahitaji kioo cha hiyo simu kwa gharama ya 50,000. Kama unacho naomba unipm na namba yako
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Back
Top Bottom