Nahitaji flat tv 49'' au 50''

Nahitaji flat tv 49'' au 50''

Tujisahihishe Tz

Platinum Member
Joined
Nov 17, 2011
Posts
3,061
Reaction score
1,367
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza nahitaji flat tv nina 700k nahitaji ndani ya siku mbili kuanzia leo niwe nimepata

nipigie 0716863406
 
Hakuna flat TV ya 49" au 50" kwa laki saba ata kama in used.kumbuka unazungumzia TV yenye ukubwa sawa na madirisha ya kisasa. Kwa pesa iyo nahisi ni kidogo.labda atakaye kuuzia awe na shidasana na iyo hela
 
Hakuna flat TV ya 49" au 50" kwa laki saba ata kama in used.kumbuka unazungumzia TV yenye ukubwa sawa na madirisha ya kisasa. Kwa pesa iyo nahisi ni kidogo.labda atakaye kuuzia awe na shidasana na iyo hela
Au kaiba sehemu
 
mm ninayo inchi 48 tena ni smart ila kama una milioni moja na laki nane nitafute nazungumzia tv aina ya samsung
 
Back
Top Bottom