-Iwe mint condition kila kitu chake sio muhimiu sana
.
-muhimu simu,uknpa vingne km bonus bado fresh.
.
-Budget yangu laki mbili (200,000),200k
.
comment au Pm tufanye biashara
Kitanda ni kigumu na hakijatumika sana, kina uwezo wa kukunjwa na kukunjika kwa jinsi utakavo
Bei 200,000! Nipo Dar es salaam kwa atakae hitaji nitafute namb >> 0766166483
Wanajukwaa kama kichwa cha habari kinavojieleza nauza kiwanja changu kilichopo kibaha kwa matias kina ukubwa wa 60 urefu na 30 upana na kipo umbali wa km 3 kutoka barabara kuu..bei ni mil9 ila...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, tunahitaji mtu au kikundi cha watu wa kushirikiana nao (wastani wawe na 6 million Tshs) kuendesha club, Hii club ni mpya,kubwa na ya kisasa, haijafanya kazi...
Wakuu habari?
Ni duka gani hapa Bongo naweza kupata Vitanda vya kujifungulia akina Mama? Na ni kwa bei gani?
Nilikua ziarani kijijini kwa kweli nimeguswa sana kwa jinsi Mama na Dada zetu wanavyo...
Hello, Naitwa John Raphael ni Mmiliki wa Jb Catering iliyopo Mtoni-Kijichi...
Hii kampuni ina Assets karibia zote za restaurant operations, na nina zaidi ya mwaka tangu kampuni ilipo...
Nimetua iringa..nahitaji kujua sehemu gani hapa town ilio tulivuuu wanayochoma au kuroast kitimoto kizuurii nataka nikajipe raha jioni hii mwenzenu maana nina uchovu si wa kawaida...
Asante
Habari wakuu,
Naomba kuwafahamu hawa Real Estate wauzaji wa viwanja ambao wanauza viwanja vya Kigamboni Kimbiji Beach plot) Karibu na Avic Town.
Naomba kujuzwa kuhusu viwanja wanavyouza huko...
Wakuu salama naulizia wapi naweza pata Humidifier nipo Mwanza kwa sasa.
Kwa ambao hawafahamu... Humidifier ni kifaa kinachoongeza unyevu nyevu ndani ya chumba
Kazi yetu mpya ya tovuti (website) toka
www.africanbase.net unahitaji tovuti kwa biashara zako? Mobile app? Graphics/logo design katika brand yako? Wasiliana nasi Leo whatsapp +255753 149 701
Call...
Amani kwenu wadau,
Nauza tecno spark k7 gold cover ipo kwenye hali nzuri imetumika wiki 3 sababu ya kuuza nataka nichukue simu kubwa zaidi ya hii.
Specification zake:
DUAL SIM
16GB ROM + 2GB...
A modern 4 bedrooms, familly bungalow is available for rent from 1st of May 2018. it includes 1 masterbedroom and 3 other rooms with built in closets. a huge dining room, sitting room and top...
Habari za muda huu wadau, naomba mwenye kujua fundi mzuri wa suti za harusi Arusha anipe mawasiliano yake.
Asanteni sanaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.