Binafsi mimi ni mmoja wa watu naoamini msaada wa huu mtandao.
Bila kupoteza wakati ndugu zangu nahitaji mtu au dalali wa bei nafuu ambae anaweza nisaidia kupata chumba hapo dodoma tuweze wasiliana...
Tuwasiliane kwa Mwenye uhitaji wa hizi bidhaa;-
Display ya miwani inauzwa 300,000 INA Display miwani pc 105(mia na tano) kwa wati mmoja.
Ni kubwa, na juu kabisa INA vioo viwili.
Inafaa kwa mtu...
Habari wakuu,
Naomba kuuliza wapi ninaweza pata biometric devirce kwa ajili ya fingerprint na signature na bei yake ikoje nilikuwa nahitaji hicho kifaa.
Mwenye kufahamu wapi naweza kuvipata na...
Natafuta mtu wa kuinvest kwenye idea yangu ya biashara!
Mtu aweze kuinvest kuanzia 5milion kupanda! Kama ni mkopo nitamlipa kwa marejesho ila kama ni only investment atapata shares katika...
Ndugu zangu wanaJF nimelazimika kukiweka kiwanja changu rehani kilichopo maeneo ya Mbezi ya Msakuzi kwa makubaliano ya kurejesha pesa hiyo.
Nina shida ya haraka nawaomba sana anayeijua taasisi au...
Nawatakieni heri ya mwaka 2018. Mwenyezi Mungu awatie nguvu ili mtimize malengo yenu mliyojiwekea.
Kwa uhitaji wa fundi rangi tunaomba ututafute kwa mawasiliano tuliyoweka hapo chini.
Kazi zetu...
Habari za majukumu wakuu naomba kuwasilisha mada kwenu ila kikubwa ni mahitaji yangu ya simu ila naomba iwe ni Tecno kwasababu za kimazingira.......
Nimependekeza L9+ na K9+ ila zipo nyingine...
Kwa mahitaji ya bajaji (pikipiki za magurudumu matatu) zinapatikana kwetu tupo temeke hospitali na yombo buza
NB utapata bajaji yako ndani ya siku kumi za kazi baada ya malipo. tin namba muhimu...
Njoo ujifunze jinsi ya kuingiza kipato kwa kutumia biashara za kimitandao.
Semina itafanyika Melisha Training center iliyoko MWANAKWEREKWE karibu na bank ya PBZ
Muda ni saa kumi nambili...
We produce Real registered and Novelty passports,drivers licenses,ID cards,birth certificates,diplomas,Visas,SSN,Marriage certificates,divorce papers,US green cards,University degrees Gun...
Nyumba ya vyumba vitatu,
a) Master bedroom na viwili vya kawaida.
b) Sitting Room na dinning room.
c) Ina choo cha ndanibkwa ajili ya hizo room mbili kukiwa na corridor moja.
d) Ukubwa wa eneo...
Habari zenu wadau,.. mwenye uhitaji wa kiwanja na nyumba ipo Mabibo inauzwa.
Location;Mabibo nyuma ya kiwanda cha MO Ukiwa (Mandela road)
Nyumba ni kubwa ina vyumba vya kulala vitatu (master's...
Habari za muda ndugu zangu wanaJF
Naomba msaada jaman hv n taasis gani ambayo inatoa mkopo chap chap maana dada yangu n mgonjwa na anatomies kufanyiwa upasuaji India ili tunusuru uhai wake na mim...
Wadau wa madini,natafuta sehemu zenye Madini sana sana Green tourmaline ya kupiga mabox(sesa) na kuchekecha. Lengo langu ni kushirikiana kupiga kazi. Nalenga zaidi maeneo ya kaskazini (Manyara na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.