Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Samsung galaxy j7 prime 32gb internal MPYA inauzwa tshs 380k Haina boksi ipo Dar 0656181058
0 Reactions
7 Replies
2K Views
-Iwe mint condition kila kitu chake sio muhimiu sana . -muhimu simu,uknpa vingne km bonus bado fresh. . -Budget yangu laki mbili (200,000),200k . comment au Pm tufanye biashara
0 Reactions
1 Replies
702 Views
Huu waya ninaweza upata wapi kwa hapa dar!?
0 Reactions
11 Replies
48K Views
Kitanda ni kigumu na hakijatumika sana, kina uwezo wa kukunjwa na kukunjika kwa jinsi utakavo Bei 200,000! Nipo Dar es salaam kwa atakae hitaji nitafute namb >> 0766166483
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wanajukwaa kama kichwa cha habari kinavojieleza nauza kiwanja changu kilichopo kibaha kwa matias kina ukubwa wa 60 urefu na 30 upana na kipo umbali wa km 3 kutoka barabara kuu..bei ni mil9 ila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, tunahitaji mtu au kikundi cha watu wa kushirikiana nao (wastani wawe na 6 million Tshs) kuendesha club, Hii club ni mpya,kubwa na ya kisasa, haijafanya kazi...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Hi. Anyone who can supply Cashew nut. Contact me please +31684215756 whatsapp
0 Reactions
0 Replies
453 Views
Wakuu habari? Ni duka gani hapa Bongo naweza kupata Vitanda vya kujifungulia akina Mama? Na ni kwa bei gani? Nilikua ziarani kijijini kwa kweli nimeguswa sana kwa jinsi Mama na Dada zetu wanavyo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hello, Naitwa John Raphael ni Mmiliki wa Jb Catering iliyopo Mtoni-Kijichi... Hii kampuni ina Assets karibia zote za restaurant operations, na nina zaidi ya mwaka tangu kampuni ilipo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimetua iringa..nahitaji kujua sehemu gani hapa town ilio tulivuuu wanayochoma au kuroast kitimoto kizuurii nataka nikajipe raha jioni hii mwenzenu maana nina uchovu si wa kawaida... Asante
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari wakuu, Naomba kuwafahamu hawa Real Estate wauzaji wa viwanja ambao wanauza viwanja vya Kigamboni Kimbiji Beach plot) Karibu na Avic Town. Naomba kujuzwa kuhusu viwanja wanavyouza huko...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu salama naulizia wapi naweza pata Humidifier nipo Mwanza kwa sasa. Kwa ambao hawafahamu... Humidifier ni kifaa kinachoongeza unyevu nyevu ndani ya chumba
0 Reactions
0 Replies
825 Views
Kazi yetu mpya ya tovuti (website) toka www.africanbase.net unahitaji tovuti kwa biashara zako? Mobile app? Graphics/logo design katika brand yako? Wasiliana nasi Leo whatsapp +255753 149 701 Call...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Closed
Amani kwenu wadau, Nauza tecno spark k7 gold cover ipo kwenye hali nzuri imetumika wiki 3 sababu ya kuuza nataka nichukue simu kubwa zaidi ya hii. Specification zake: DUAL SIM 16GB ROM + 2GB...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Pasi aina ya Panasonic bei 25,000, nipo Dar es salaam kama unahitaji nitafute kwa namb >> 0693289203
0 Reactions
6 Replies
3K Views
A modern 4 bedrooms, familly bungalow is available for rent from 1st of May 2018. it includes 1 masterbedroom and 3 other rooms with built in closets. a huge dining room, sitting room and top...
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Habari za muda huu wadau, naomba mwenye kujua fundi mzuri wa suti za harusi Arusha anipe mawasiliano yake. Asanteni sanaaa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
31 Replies
10K Views
Nauza used suspension shockup ya mbele ya mercedes benz sclass, bei 600,000 maongezi yapo piga number 0766408762
0 Reactions
0 Replies
729 Views
Kama kichwa kinavyojieleza Desktop inauzwa bei poa kabisaa, Anayehitaji anicheki kupitia nanba 0675933114!!!!
0 Reactions
1 Replies
536 Views
Back
Top Bottom