Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za wakati huu wanajanvi. Nimekuwa mwenye shauku ya kutaka kujua jinsi ya kutengeneza shower gel. Mwenye elimu jinsi ya utengenezaji wa shower gel, nipe maelekezo.
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Colour:Black Size:5.5inches Internal capacity:16 GB Ram:1Gb Primary camera:8mp Secondary camera:1.2mp Price:900000/=
0 Reactions
1 Replies
768 Views
Jipatie kwa bei Chee 70,000 Mobile wifi router Inachapakazi mitandao yote Ni nzima aijawai kuwa na tatizo
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mambo vipi wadau nauza simu yangu Huawei p8 lite, Bei TSH 180000 Specifications Condition mzuri na haina tatizo, nauza coz ninashida na pesa, Double line Camera iko poa front and rear GB 16...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Haidaiwi kibali chochote. 6 Cylinder Gari tajwa hapo juu ni nzima haijawahi funguliwa injini. Taa za mbele nzima na nyuma ni kubadilisha sababu ni za muda mrefu. Inahitijika kuchomelewa kidogo...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Jamani nina shida na huyo mtaalam,naomba mawasiliano
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Date listed 13/11/2017 DESCRIPTIONS: Wakuu nimeamua kufanya edit kidogo kwenye tangazo hili. Bei imepungua kidogo N.b nyumba ni ya kisasa kabisa na ni finished. Nawakaribisha wote wahitaji...
1 Reactions
51 Replies
6K Views
Habari wana JF Ninauza asali mbichi, Jumla na rejareja Asali haijachakachuliwa yaani haijaongezwa chochote Nauza kuanzia ujazo wa robo Lita hadi Lita 20 Robo Lita Tsh 3000 Nusu Lita Tsh 6000...
1 Reactions
0 Replies
804 Views
Habari, Mimi ni mwajiriwa kwenye company fulani ya muhindi na kipato changu ni Tsh si chini ya 500,000/=(take home) Nataka kukopa mojawapo ya gari hizi suzuki jimny wide au escudo ile ya zamani...
4 Reactions
85 Replies
20K Views
Heshima kwenu wakuu. Natumai mnaendelea vyema kabisa. Bila ya kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika hapo juu wakuu. Well, Kama mada inavyosema ningependa kufahamishwa ni...
1 Reactions
9 Replies
6K Views
Gage30 sh 20,000 kwa pc sh. 6,800/mita Gage28 sh. 26,500 kwa pc sh.9,000/mita Gage 32 sh. 15,500 kwa pc Vessal sh. 10,500 kwa mita Lugoba sh. 10,500 kwa mita Misumari(rangi) sh. 9,000 kwa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza 3G HSPDA modem mpya inayotumia laini zote , pia ina sehemu (slot) ya kuweka memory card hivyo utaweza kuitumia kama flash pia kwa kuweka memory yako kwenye hiyo sehemu.<br />Location...
0 Reactions
2 Replies
936 Views
Jipatie modem za kisasa zenye uwezo was 3Gplus kurusha wireless na USB cable kwa wale wasiotaka kuconnect modem direct kwenye PC.. Modem hizi ni universal na unatumia laini (SIM card)yoyote...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Tumapicha yake na bei yako tutaongea.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za muda huu wana Jf, Mimi ni.mwanafunzi, lakini pia MUNGU amenipa neema ya kuandika vitabu. Ila natafuta mfadhili wa kunisaidia katika eneo la fedha kwa sababu nimekwama. Kama kuna mtu...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndugu, heshima kwenu wakuu Mimi ni kijana mjasilia mali mwenye hutaji la kutimiza ndoto zangu. Naomba kujuzwa wapi naweza pata mkopo wa bajaji kwa masharti nafuu, dhamana ya mkopo ni Bajaji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kichwa cha habari kinajieleza. Kuna duka niliwai kuinunua kule kariakoo gerezan [2015]. lakin simu ya mhusika (mhindi) siko nayo na duka silikumbuki. Nahiitaji sana. Picha nimeambatanisha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nipo tabata kimanga, Bei vyote kwa jumla nipe 150'000 tu.0629981738 sms zitajibiwa Karibu.
2 Reactions
12 Replies
7K Views
geji30 sh. 20,000/pc sh. 7000/mita geji 28 sh. 26,500 /pc sh. 9000/mita geji32 sh. 16000 /pc kofia/Valley sh. 10,000/pc misumari sh. 9,000 kwa kilo KELVIN HAULE NIPO DAR 0714573462
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom