Habari za wakati huu wanajanvi.
Nimekuwa mwenye shauku ya kutaka kujua jinsi ya kutengeneza shower gel.
Mwenye elimu jinsi ya utengenezaji wa shower gel, nipe maelekezo.
Mambo vipi wadau nauza simu yangu Huawei p8 lite,
Bei TSH 180000
Specifications
Condition mzuri na haina tatizo, nauza coz ninashida na pesa,
Double line
Camera iko poa front and rear
GB 16...
Haidaiwi kibali chochote.
6 Cylinder
Gari tajwa hapo juu ni nzima haijawahi funguliwa injini.
Taa za mbele nzima na nyuma ni kubadilisha sababu ni za muda mrefu.
Inahitijika kuchomelewa kidogo...
Date listed 13/11/2017
DESCRIPTIONS:
Wakuu nimeamua kufanya edit kidogo kwenye tangazo hili.
Bei imepungua kidogo
N.b nyumba ni ya kisasa kabisa na ni finished.
Nawakaribisha wote wahitaji...
Habari wana JF
Ninauza asali mbichi, Jumla na rejareja
Asali haijachakachuliwa yaani haijaongezwa chochote
Nauza kuanzia ujazo wa robo Lita hadi Lita 20
Robo Lita Tsh 3000
Nusu Lita Tsh 6000...
Habari,
Mimi ni mwajiriwa kwenye company fulani ya muhindi na kipato changu ni Tsh si chini ya 500,000/=(take home)
Nataka kukopa mojawapo ya gari hizi suzuki jimny wide au escudo ile ya zamani...
Heshima kwenu wakuu.
Natumai mnaendelea vyema kabisa. Bila ya kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika hapo juu wakuu.
Well, Kama mada inavyosema ningependa kufahamishwa ni...
Gage30 sh 20,000 kwa pc sh. 6,800/mita
Gage28 sh. 26,500 kwa pc sh.9,000/mita
Gage 32 sh. 15,500 kwa pc
Vessal sh. 10,500 kwa mita
Lugoba sh. 10,500 kwa mita
Misumari(rangi) sh. 9,000 kwa...
Nauza 3G HSPDA modem mpya inayotumia laini zote , pia ina sehemu (slot) ya kuweka memory card hivyo utaweza kuitumia kama flash pia kwa kuweka memory yako kwenye hiyo sehemu.<br />Location...
Jipatie modem za kisasa zenye uwezo was 3Gplus kurusha wireless na USB cable kwa wale wasiotaka kuconnect modem direct kwenye PC..
Modem hizi ni universal na unatumia laini (SIM card)yoyote...
Habari za muda huu wana Jf,
Mimi ni.mwanafunzi, lakini pia MUNGU amenipa neema ya kuandika vitabu. Ila natafuta mfadhili wa kunisaidia katika eneo la fedha kwa sababu nimekwama. Kama kuna mtu...
Ndugu, heshima kwenu wakuu
Mimi ni kijana mjasilia mali mwenye hutaji la kutimiza ndoto zangu.
Naomba kujuzwa wapi naweza pata mkopo wa bajaji kwa masharti nafuu, dhamana ya mkopo ni Bajaji...
Kichwa cha habari kinajieleza. Kuna duka niliwai kuinunua kule kariakoo gerezan [2015]. lakin simu ya mhusika (mhindi) siko nayo na duka silikumbuki. Nahiitaji sana. Picha nimeambatanisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.