Habari za mchana wakuu ninahitaji tablet ya aina yoyote iwe nzuri isio na michubuko na bei nafuu kumbuka na mimi naenda kuuza kama unayo njoo PM. BEI 250000-350000 kulingana na ubora.
Rejea kichwa habari apo juu,naitaji air compressor ambayo used Kwa matumizi ya kujazia upepo!Kwa mwenye anayo anauza njoo pm tuyamalize lakini weka specification zake!
Wakuu,
Naomba kuuliza kama kuna Live Band mjini wanaoweza kutumbuiza kwenye harusi,sherehe nk.Naamanisha wenye vifaa vyote vya Band.
Pia wenye uzoefu wa kusample miziki ya nje kama soul and...
The Apartments
Connected to all state-of-the-art facilities of Fumba Town, the 1 and 2 bedroom apartments are the perfect chance for first-time buyers to own a home of one’s own or to invest in...
Location:mpigi magohe
Quality:two living room,toilet,kitchen and sitting room,full electricity + water
Rent fee: 150000/= per month six month payment is acceptable plus one month for the blocker...
Wadau tunasafari ya kaskazini kutembelea vivutio vyetu Na pia kuinjoy utalii wa Tanzania.
Pls join us ni Tarehe 9-12 Dec 2016.
Tutatembelea Tarangire Na Ngorongoro Crater.
Mchango. Wanafunzi...
hiii....
Youtube channel inahitajika faster kwa anaye uza.
contact via watsapp. 0756407026.
VIGEZO.
Iwe conected na adsence account.
Isiwe na copyright contents.
pia isiwe na Community...
Kwa miaka mingi nimekuwa nikihangaika na mafundi wa Solar systems bila mafanikio .Mpaka sasa nimefikia hatua ya kuamini kwamba hapa nchini hatuna mafundi wabobezi wa Solar Systems kabisa...
Natafuta PC iwe na uwezo mkubwa, graphics card ya maana
HDD 500
Ram 4
Core i5
processor 8
good condition,
Bettry life 6 hours
Appearance nzuri, iwe nyembamba, iwe mpya, iwe na chaji yake na pad...
Kitanda cha CHUMA kizuri,kimetumika kidogo sana na GODORO lake vyote kwa pamoja vinauzwa jumla 200,000. Viko tegeta DSM.Mawasiliano - piga,SMS au whatsapp 0628-796778 au 0628-615685
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.