Bajaji zinapatikana Temeke

Bajaji zinapatikana Temeke

Levites

Member
Joined
Jan 9, 2018
Posts
68
Reaction score
34
Kwa mahitaji ya bajaji (pikipiki za magurudumu matatu) zinapatikana kwetu tupo temeke hospitali na yombo buza

NB utapata bajaji yako ndani ya siku kumi za kazi baada ya malipo. tin namba muhimu kwa ajili ya usajili. mawasiliano 0652659775
 
Kwa Mahitaji ya BAJAJI (pikipiki za magurudumu matatu) zinapatikana kwetu Tupo Temeke Hospitali na Yombo Buza
N.B UTAPATA BAJAJI YAKO NDANI YA SIKU KUMI ZA KAZI BAADA YA MALIPO. TIN Namba muhimu kwa ajili ya usajili. mawasiliano 0652659775

Mi naskitika tu kuona eti tangazo ndio limeisha hapo.
Ila kwa kuwa ni new member basi karibu sana JF.
 
Mtu alipe hela yake, then aende nyumbani asubirie siku kumi? What is this? Mnataka kuwa kama ''matajiir'' wa ACACIA - unaingia na briefcase tu, unapewa mtaji na unapiga faida bila jasho.
Kweli mkuu lakini kumbuka kuna mambo ya usajili Naa vibali Hivo tunategemea isizidi siku kumi kutokana na order tulizo nazo. Lakini tuna fasttruck service ukiwa na haraka
 
Mi naskitika tu kuona eti tangazo ndio limeisha hapo.
Ila kwa kuwa ni new member basi karibu sana JF.
Kweli huu ni uzi wangu wa kwanza hapa tuvumiliane japo nimekuwa nikivinjari Hapa kwa muda mrefu kidogo
 
Kwa mahitaji ya bajaji (pikipiki za magurudumu matatu) zinapatikana kwetu tupo temeke hospitali na yombo buza

NB utapata bajaji yako ndani ya siku kumi za kazi baada ya malipo. tin namba muhimu kwa ajili ya usajili. mawasiliano 0652659775
Kuna sehemu nyingi sana ukifika na fedha unaondoka na bajaji sasa wewe upewe fedha ukaw nayo siku kumi ndio mteja apate bajaji?
 
Mtu alipe hela yake, then aende nyumbani asubirie siku kumi? What is this? Mnataka kuwa kama ''matajiir'' wa ACACIA - unaingia na briefcase tu, unapewa mtaji na unapiga faida bila jasho.
na wapo watajiingiza 'unyolewa' bila chembe ya shaka. watanzania tunahitaji maombi. nimejaribu kukumbuka ngao ya pick up niliyoisoma miaka ya 2003, NO EASY TASK!
 
Tangazo La Aina Yako Linakosa Mvuto

Ulipaswa Kuandika Japo Hivi :-
Aina Ya Pikipiki (Bajaj, Tvs)
Ujazo Wa Injini (CC)
Magurudumu (Matatu, Mawili )
Pikipiki Ni (Mpya, Iliyotumika )
Gharama Za Usajiri Wa Number
Bei Yake Unayouza
 
Nani wa kukuachia milioni saba zake kwa siku kumi kirahisi rahisi hivo ebooo
 
Kitomari Yupo Kazini
NaangaliaBila Shaka Muda Utatuambia Ila Kweli Atalia Mtu
Sekunde Chake
Kwani huyu jamaa si alishashuhulikiwa hadi akapoteza vitu adimu alafu akakabidhiwa kunako kyombo kya dola?
 
Kuna sehemu nyingi sana ukifika na fedha unaondoka na bajaji sasa wewe upewe fedha ukaw nayo siku kumi ndio mteja apate bajaji? Puuuuuumbavu
Huo ni utaratibu wao sisi ni ndani ya siku kumi za kazi inaweza kua chini ya hapo, mfano mteja hana TIN namba na kachelewa kulipa hawezi kuondoka na chombo siku hiyo
 
Tangazo La Aina Yako Linakosa Mvuto

Ulipaswa Kuandika Japo Hivi :-
Aina Ya Pikipiki (Bajaj, Tvs)
Ujazo Wa Injini (CC)
Magurudumu (Matatu, Mawili )
Pikipiki Ni (Mpya, Iliyotumika )
Gharama Za Usajiri Wa Number
Bei Yake Unayouza
Asante kwa ushauri Tunauza za magurudumu matatu pia za mawili aina ya TVS TU. Nimeweka mawasiliano kwa maelezo zaidi
 
Siku 10 hapana mkuu. Tunanunua gari na usajili unafanyika ndani ya masaa 3 tu unaondoka na gari yako. Hiyo tin namba ukienda tra ni kazi ya muda mfupi sana inakuwa imetoka.
 
Back
Top Bottom