Make : Toyota
Model : Verossa (JZX-110)
Mileage : 78,348km
Engine size: 2,490cc (1JZ)
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
Drive :
M/Year ...
Kama kichwa kilivyojieleza,
Mimi ninaishi Mwanza nilikua nahitaji kwa mtu mwenye ujuzi wa kunifundisha jinsi ya kushona mazulia, hereni na cheni za shanga anifundishe niko tayari kumlipa ili...
REAL ESTATE AGENT (WAKALA WA MAJENGO)
Wakala wa Majengo (Estate Agent), hawa ni wataalamu wa soko la nyumba ambao ni muhimu katika kukutafutia nyumba ya stahili yako na ndani ya bajeti yako...
Kazi hizi nazifanya na zinaniingizia zaidi ya 200,000 kwa siku.huhitaji elimu yoyote ili kuvijua bali tunahita mda wako tuu.
_kuweka app playstore
_kuunda blog kwenda website
_kuunda blog kwenda...
Habari zenu wana jamii..
Nina shamba langu la hekari 3, lipo mpakan mwa Pwani na Morogoro.. Ukitoka Msolwa kama unaenda morogoro..
Ni Km3 kutika barabara kuu ya lami iendayo Moro.
Ndio...
Mwenye TECNO K7
iwe imetumika sio zaid ya miez miwili.
Yangu ni SAMSUNG J7 GALAXY ina mwaka mmoja net. Na iko vizur 100%. Naipenda tecno ndio maana nimeamua hivi.
Kama uko oky tuwasiliane.
Natumaini hamjambo wadau wa mashairi na fasihi kwa ujumla.
Baada ya kumaliza kuandika kitabu changu cha ushairi kwa lugha ya kiingereza kinachoitwa 'SONGS OF AFRICAN FATHERS'
kitabu hiki...
Ni MPYA na za KISASA KABISA.
Zipo mbili ktk eneo moja lenye utulivu wa kutosha.
Ziko ndani ya Fence.
Vyoo vya ndani.
Kila moja ina vyumba VIWILI, kimoja ni Master Bedroom, sebule na...
Habari Wana-JF!! Viwanja vinauzwa New Arusha City Katika Manispaa ya Arusha...Umbali wa eneo ni ~7Km kutoka Arusha Airport na ~1Km kutoka nyumba MPYA za NHC zilizofunguliwa karibuni na Mhe Waziri...
Gari aina ya Toyota Noah new model ya mwaka 2005
Cc1990, inatumia petrol, imetembea kilomita 165000. Kwa mawasiliano piga sim kwa namba 0657469664. Bei inataka 6.5milion. Gari haina tatizo yoyote...
Ipo katika hali nzuri, inafanya kazi, inatumia umeme, made in India.
Bei 150,000.
Nicheck inbox tufanye Biashara kama upo interested.
Sent using Jamii Forums mobile app
NAuza laini ya mpesa.... Tigo pesa... Halopesa na lipa Kwa Mpesa Jina ni moja.
Ncheki kupitia k0717250984/0620163695 Nipo Kimara Suka. Jumla zote 430000
Kuna shamba ekari moja masemele Buswelu bei mil 4.5
Kuna shamba ekari mbil kasoro 150*85 liko isanzu ilalila Buswelu bei Mil 5 .5
Kiwanja 27*40 Buswelu mil sita
Pia kuna kiwanja buswelu 28*16...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.