hodi mwana wa mwenzenu

Agonza

New Member
Nov 16, 2010
1
0
jamani hodi, tena hodi, nipokeeni basi jamani wenye mpoooooooo?? hodi mpaka ndani mbona kimyaaaa he! haya me ndo nakaa kwenye mkeka hvo nasubiri wenyeji.
 

Edgartz

JF-Expert Member
Feb 26, 2010
241
20
mbona unaharaka sana haya karibu ingia hadi sebuleni ila chumbani kumejaa karibu sanaaaa!
 

NewDawnTz

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
1,668
362
Karibu ila mwendo punguza maana waweza jikuta chumbani atiii wakati......karibu sana kwenye kisima cha mawazo mbadala na usilete mambo ya mwembe mawazo chumbageni Tanga mpaka story za mama nanihii na baba nanihii wanavyopiga kelele usiku wakati wakiwa wanatafuna muwa. KARIBU
 

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,956
12,591
Mmmmmmh haya karibu, ila hiyo avatar!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

hashycool

JF-Expert Member
Oct 2, 2010
6,566
2,815
jamani hodi, tena hodi, nipokeeni basi jamani wenye mpoooooooo?? hodi mpaka ndani mbona kimyaaaa he! haya me ndo nakaa kwenye mkeka hvo nasubiri wenyeji.

ushanipata mbona! hicho chiuno chako?
 

Little John

JF-Expert Member
Oct 16, 2010
215
66
Karibuuuuuuuuuu ndugu yetu Agonza, kwa kweli umefika kwa wana JF, karibu utoe HOJA.
Hiyo avatar!!!!!!!!!!!!!!
Kweli karibu, karibu kweli kweli.
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom