Nimeona ni vema kuwa sehemu ya Great Thinkers wa Jamii Forums ili kuweza kushirikiana nanyi kupaza sauti zetu kuliko kuendelea kukaa kimya huku mafisadi wakiendelea kuitafuna nchi yetu bila...
heshima kwenu wana jf, hivi humu ndani nikitaka kusema kitu kilicho moyoni, ambacho kina wagusa kina nanihii hakuna ma cia na ma fbi watakao ni track??? Naogopa kuangukiwa na jumba bovu mwenzenu!!!
Hodi kwa wanJF wote tz, mmmm ni matumaini yangu kwamba tutakua pamoja ktk hili jukwaa la JF,maomba ushirikiano wenu na idhini yenu kuutambua uwepo wangu hapa,ahsante
Dear JF members-ladies and gentlemen, I am the newcomer to this forum. I am glad to have this opportunity to introduce myself to you. I am Mr. Pacemaker.
For the past several years that the...
First of all i am apologising on the name of holy name of JF sitarudia tena in using undisqulified language which i used involunterily
Haya wanajamii niliingia hapa JF yapata mwaka sasa bila ya...
Kwa mara ya kwanza nawaomba wanajamii mnikaribishe mimi wa hapahapa kwenye familia hii ya hapahapa ili nami nipate fursa ya kushiriki kwa namna moja au njingine matukio haya ya hapahapa duniani...
Nachukuwa nafasi hii kujitambulisha kwenu!
Nia ni kuwa sehemu ya wanaochagia mawazo katika jamii yetu, kwa kuwa weledi, makini, na huru katika kutafuta utatuzi wa changamoto zinazotukabili...
Wenyeji wangu wazima jamani? Dah niko hapa kitambo ila nilijisahau sikupitia haka ka utaratibu..leo naona nijitambulishe rasmi...hope hamtakasirika sana wakubwa.
Hi jf family,greetings.am the new kid in the block wishing 2 b part of ur family.wish w could stir up something 2gether & set the positive vibration in motion.asanteni.
Baada ya kusoma kwa siku kadhaa sasa nimeingia rasmi JF ila uchunguzi wangu umebaini kuwa kuna memba hawaielewi hii forum au kwa makusudi hawataki kuielewa, HESHIMU MAWAZO YA MWENZAKO KOSOA BILA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.