WanaJF, maveterani na wageni waliojiunga na forum hivi karibuni, ninawapa salaam za kheri ya mwaka mpya. Mimi ni mmoja wa wageni ambao najitokeza mbele yenu kwa kuanza mwaka mpya 2011 kwa...
hi wana-jf, ndo mgeni kabisa humu ndani, naomba kupokelewa, tuweza kulisukuma mbele hili gurudumu. Mmekuwa kimbilio langu mara nyingi ktk mwaka huu wote na hakika nimeipenda jf kwa mada mbalimbali...
Wana JF mimi sikuwa member wa JF lakini nilikuwa nashinda kila siku humu kusoma hoja za watu mbalimbali na michango ya watu ya kisiasa,kiuchumi na kijamii.
Nimegundua kwamba level of thinking ya...
Cha ukweeeeee kikwelikweli....aksanteni ndugu ninyi nyooooote wa JF nawapa pongezi kwa safari ndefu mliyo ianza siku nyingi pasipo kuchoka....nami nakata utepe rasmi NIPO NANYI MPAKA MWISHO WA...
Kwa hakika nimekuwa nikiifuatilia jf kama mgeni, sasa nimeona na mimi niwe natoa yangu maoni na kuchangia.Hodi hodi wana jf!!!! naamini tutaelewana tu maana "lugha" zenu nazitambua na nazipenda!!!!
Wandugu wana-jamii naomba kuwasilisha hoja ya kupitishwa kwangu na nyie nyote kuwa miongoni mwa wanajamii wenza wa jukwaa hili tukufu baada ya maombi yangu kukubaliwa na Mods.
Ahsanteni na...
Baada ya kutambulishwa kwenu na wateja wetu, tumeona ni bora tujiunge hapa ili kupatikana kwetu iwe ki-urahisi.
Business Services & Consultancy Ltd.
Business Millennium Park, Office No. 7...
Habari wana jamii wenzangu. Nimeolewa, kabla sijapatwa na mkasa ninaotaka kuwaeleza nilikuwa namuamini sana mume wangu. Mwaka jana mwezi wa 6 nikagundua kuwa ana mwanamke (mama mtu mzima ) Kuanzia...
Wakuu naomba nami kujiunga katika uga wa ma-genius wa JF. Ni mwana mapinduzi mwenye mrengo ulio wazi about future of our nation, jina langu lina -potray msimamo huo..... hodihodi hodi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.