ndugu wanajamii forum, niliingia mwaka jana, kipindi kampeni za uchaguzi zinaanza , nilihamasika na nilikua bega kwa bega na hili jukwaa letu muda mwingine usiku kucha. sasa nimerudi baada ya...
Nimekuja hapa kuchangia masuala ya muhimu tu, na kuwaumbua wanaoposti upupu na mambo yasiyo na tija. Kazi moja tu- kukata issues
Tuko pamoja ndugu zangu
Asante,
Nimekua mfuatiliaji na msomaji wa siku nyingi wa hii forum,mijadala na shauri nyingi zinajenga na kuburudisha sana,...na sasa ninaomba kibari nijiunge na mnipokee ili nami niwe...
Ndugu zanguni nimeutambua mchango weeeenu siku nyingi sana,nipokeeeni tusaidiane kwa aya machache nyumbani kwenu...
Mimi ni ndugu yenu mpendwa,
..........Rafiki wa karibu
..........kwa...
:msela:Nabisha hodi jamvini waungwana nipokeeni tujadili ,kufikiri na hata kutafuta ufumbuzi wa yanalolikabili taifa letu na jamii yetu kwa ujumla. Nipokeeni nimekuja.
Mie ni mwanaharakati mwenzenu, jina langu ni Tumaini edson, kwa kuwa ilm niliyokuwa nayo ni ile ya kiwango walichoridhia ccm, makosa yalikuwa mengi wkt wa mchakato wa kujisajili Jf, nawaombeni...
Salamu sana wanaJF nimependezwa sana na mada zinazojadiliwa na wanaJF Hii kweli ni Home of great thinkers, naomba kuingia niwe mmoja ya magreat thinkers, Salamu kwa wote.
Hi all!
Mm si mgeni sana wala si mwenyeji sana hapa. Si mgeni kwasababu nimechelewa sana kujiunga kutokana na sababu kadhaa. Si mwenyeji kwasababu sikujua kama kuna majukwaa ambayo wanayaona...
I feel honored to request to join you,
I believe that together we can be the best. I request that if I do well, help me; and if I do wrong, set me right. Sincere regard for truth shall be...
Jamani nimekuja rasmi naombeni ushiriakiano wenu katika nyanja zote.
Nilijiunga tangu mwanzoni mwa mwezi nilisahau kujitambulisha.
Thank you in advance.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.