Hodi Wana JF

Hodi Wana JF

bank

Senior Member
Joined
Jan 9, 2011
Posts
158
Reaction score
24
Jamani nimekuja rasmi naombeni ushiriakiano wenu katika nyanja zote.
Nilijiunga tangu mwanzoni mwa mwezi nilisahau kujitambulisha.

Thank you in advance.
 
BANK yenyewe ndio imeanza nahitaji mfungue account halafu tutaanza kukopesha
 
Jamani nimekuja rasmi naombeni ushiriakiano wenu katika nyanja zote.
Nilijiunga tangu mwanzoni mwa mwezi nilisahau kujitambulisha.

Thank you in advance.


Weeeeeeeeeee....bank gani hyo inasahau? ................sasa huku ndo kwenyewe kwa wasahaulifu kama wewe,Karibu sana Bank
hutasahau tena................:welcome:
 
Back
Top Bottom