Hello wanajamii,naitwa Mr Nalonga.....nimepata Rasmi kibali cha kuishi katika kijiji chenu hiki cha Thinkers hii leo....Naamini mkaa karibu na waridi lazima anukie
Asanteni.
Baada ya kuwa mwanachama mfuatiliaji wa nje (guest) nimeona nipandishe status yangu na kuwa member kabisa.
Hoping for a hot welcome from you all.
Thanks and best wishes in this festival season...
WE ALL KNOW THAT EDUCATION INCREASE KNOWLEDGE.
SO WE ASSUME THAT ANY ONE WITH EDUCATION WILL BE THE MIRROR OF SOCIETY AND IS THE TRUE THING THAT WHEREVER YOU HAVE PASSED THROUGH YOUR EDUCATION...
Wana JF, mimi ni mteule wa RAHISI wa INCHI HII ya Jah-Mhuri wa Muunga-ngano, naomba uthibitisho wa MJENGO WENU MTUKUFU . . . niwaongoze kwa miaka 60 ijayo . . .
Hello JF members
I am a new member, napenda ku-interact na watu, so nimeamua nijiunge katika JF. I plan to be very active so watch out for this username.
Peace
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Jamii Forums toka ikiitwa Jambo Forums.Kila siku lazima niingie humu ili kujua kinachoendelea hapa nchini na dunia nzima kwa ujumla kwenye nyanja mbalimbali kama...
Najisikia furaha kujiunga na hii platform ili nami niweze kushirikiana nanyi wanajamii katika nyanja mbalimbali.
Kwa heshima na taadhima naombeni mnikaribishe,
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.