.
Being upcoming Author, i find it more wise to be with you here JAMIIFORUM to exchange views and many more as deemed parmissible.
As to my living Author, im releasing my first swahili novel...
NGO! NGO! NGO! HODIIIIIIIIIII! Jamani naomba mnifungulie mlango mimi ni mwenzenu. Nimeelekezwa kuwa mmo ndani jamani! Mwadela wa Bhabha na wa Mayo, mlimhola. Nimewaletea viazi toka Igunga
Ninayo furaha kubwa sana kujiunga na wana jamiiforums. kitu kilicho muhumu ni kwa wana Igunga kutoendelea kufanya makosa yaliyowafanya waishi katika hali ya umasikini mkubwa sana.Niliwahi kuishi...
Mambo vp members of JF,tupo pamoja katika kuendeleza gurudumu na chachu ya maendeleo kwa kukosoa mabaya na kuongelea mazuri hasa yaihusuyo nchi yetu Tanzania.
Wapendwa,
Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu,
Ninaomba mnipokee ili tuweze kushirikiana pamoja katika kulisongesha hili gurudumu. Ninaahidi kushirikiana nanyi kwa moyo mmoja sambamba...
Hello wanaJF humu ndani.Mimi ni member mpya ndani ya jamii forum.Natarajia kupata mawazo na taarifa mbalimbali zenye kunijenga kutoka kwenu.Ok thanx jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.