Habari zenu wana jamii!
Ninaomba kujua nini hasa dhumuni la mwanamke kuvaa shanga? Je wakati wa majambozi nini mwanaume anapaswa kufanya au kuzichezea vipi hizo shanga? Kama kuna ujuzi wowote...
Habari za mishe za mchana wadau.twende kwenye mada,hivi hawa mabraza men wanaovaa vile vijinsi vinavyobana ndo fasheni au vp.utakumkuta mtoto wa kiume kavaa kijinzi kinabana mnoo ndo nini...
Wakuu, kama swali linavyojieleza hapo juu...Boxer inatakiwa ivaliwe kwa siku ngapi kabla ya kufuliwa?
Wanaume karibuni kutoa uzoefu na hata wanawake mnakaribishwa.
Nywele zinazovaliwa kila siku na kina dada na kina mama vina uhusiano mkubwa na maiti waliozikwa kisha watu kwenda kuchukua nywele zao makaburini au mahospitalini.
Kinachoshanga zaidi ni kwamba...
Kumeibuka wimbi na vijana masharobaro kupaka rangi kucha na kuwaosha miguu wanawake zetu hii inapelekea kuchochea kuwatega wanawake maana wanalegea sana nakusisimka wanaposuguliwa miguu.
Mimi...
NAMNA YA KUWA MWANAUME USIYEKERA WANAUME WENZAKO.
1. Ukija kijiweni au pub au kwenye nyama choma acha zile stori za sijui umesoma wapi hadi wapi, sijui una madigirii mangapi. Piga stori nyingine...
Halow,
Mimi ni kijana wa miaka 21. Nataka nianze kupiga gym but kuna tetesi nazipata kuwa kupiga gym katika umri mdogo kuna madhara.
Naombeni ushauri but napenda sana kupiga gym.
Nimejitahidi kukaa na nywele kwa miezi sita, lengo ni kuzi-maintain ili nywele ziwe ndefu ndo iwe kama style yangu mpya.
Kufikia sasa nimedhamiria kwenda salon kuzinyoa tu maana nimeshindwa...
Kuna vingine sijawahi kujaribu, vingine nimejaribu vikanizidi uwezo....
1: kupaka wanja kwenye nyusi
Huu urembo ulinishinda tangu enzi za mwalimu, kila nikijaribu naona nakua Kama nyau hasa hasa...
Wadau samahani sana,
Kuna mambo yananitatiza, wadada wanaoweka kucha bandia mikono yote miwili, uwa wanafuaje, kuogaje, kutawaza hapa watadai kuna toileti pepa na vipi papuu zinaogaje?
Naomba...
Habari za wakati mpedwa msomaji! yaweza kuwa mpaka sasa unajiuliza ni vigae gani unataka kutumia kwenye sehemu/vyumba vya jengo lako mfano sebuleni, jikoni, vyumba vya kulala, stoo, chooni...
Wakuu,
Yaani ninaoga najisugua vizuri lakini nikipitisha mkono bado naona kuna vile vi uchafu vinatoka.
Ni sabuni gani nzuri ya kuogea ambayo inaweza kuondoa uchafu wote?
Naombeni ushauri wanabodi
Kuna kaniletea zawadi nipake haya mafuta eti uso wangu umetokewa vichunusi,,jamani chupa kubwa mi ntaimaliza lini sasa ,halaf najiuliza haya sio mafuta ya kupikia haya kweli
Hayana harufu,halaf...
Zile enzi za pichu za zaiboni sijui ni wangapi mnazikumbuka. Unavaa pichu mpaka elastic ya kiunoni unalegea unazitupa. Sasa hizi pichu za St Michael unavaa mpaka inachakaa pale makao makuu...
Kama kichwa cha habari kilivyo, kwa ujumla ndevu ni nzuri kwa wanaume ila ni karaha pale zinapoota na kurudi tena ndani ya ngozi. Mm nilikuwa mhanga maana pia ukinyoa zinaacha alama, japo Bump...
Wanawake wengi nyonyo zao zimelala wengine inatokana na sababu ya kunyonyesha na wengine ni maumbile yao tu ndivyo yalivo.
Kwa wewe dada ambaye nyonyo tits zimelala na unataka zisimame fanya haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.