vimewachonga na kuchanika chanika mapajani, shenzi taipu!Habari za mishe za mchana wadau.twende kwenye mada,hivi hawa mabraza men wanaovaa vile vijinsi vinavyobana ndo fasheni au vp.utakumkuta mtoto wa kiume kavaa kijinzi kinabana mnoo ndo nini vile.sorry kiswahili changu sio kizuri coz am busy now
Sio kwamba hatuzitendei haki hapana... Hizo suali zinabana kuanzia Ken goti kushuka chin huku kwa juu inakuwa kubwa kubwa kidogo.... Af tunapendeza Sana.... Kuanzia Mimi mwenyew napendezaga nikivaa ivoHawazitendei haki mbupu zao!
Ndo umekuja mjini leoHabari za mishe za mchana wadau.twende kwenye mada,hivi hawa mabraza men wanaovaa vile vijinsi vinavyobana ndo fasheni au vp.utakumkuta mtoto wa kiume kavaa kijinzi kinabana mnoo ndo nini vile.sorry kiswahili changu sio kizuri coz am busy now
Sasa raha yake ni ile kubanwa au?Sio kwamba hatuzitendei haki hapana... Hizo suali zinabana kuanzia Ken goti kushuka chin huku kwa juu inakuwa kubwa kubwa kidogo.... Af tunapendeza Sana.... Kuanzia Mimi mwenyew napendezaga nikivaa ivo
Hahaaaa. Walahi Kaka umejua kunichekesha. Duuhsorry kiswahili changu sio kizuri coz am busy now....itakuwa suruali imekubana