Imepatwa kusemwa kuwa kama kuvaa nguo zinazoonesha mwili au zisizositiri mwili ipasavyo ndio usasa (modernity) basi wanyama ni wasasa zaidi! Mavazi yanasema mengi...
Wanaukumbi.
Ama kweli hujafa hujaumbika, mrembo Khadija Omar, mkazi wa Kigogo, Dar amepata pigo kufuatia kupofuka macho alipokuwa akiwekwa nyusi bandia katika saluni moja iliyopo maeneo hayo...
Hili pozi lao ukichanganya na nguo walizovaa inakuwa mtafaaruku kidogo jamani. Wadada hawa wakipozi tayari kupata picha ndani ya kiwanja fulani cha burudani. jamani wadada tujiheshimu basi kwa...
Urembo kwa wanawake ni jambo lisiloepukika na inahitaji gharama kwa mwanamke kujiweka katika hali ya utanashati ili kuwa presentable na kuleta mvuto wa kimapenzi kwa wanaume.
Hapa chini...
halafu unakuta mdada ame relax kweli, hata kuweka kitu kidogo ndani hamna!! sasa na hali ya hewa yenyewe ndio hii... upepo mwingi jamani!!
lets talk about this guys, je kwa wanawake, ilishawahi...
Habari za jioni JF Doctor,
Mimi ni tatizo moja, nikihisi harufu kali ya perfume huwa naumwa kichwa. Je ni kawaida au nitakuwa nina tatizo la allergy??
Asanteni.
habari wana JF
kuna jambo huwa linanitatiza. unakuta mtu anajipulizia perfume kali kupitiliza, akiingia ofisini watu mnaanza kupiga chafya. akiingia kwenye daladala, basi ukishuka tayari una...
Jamani ya bidi kuwa makini maana kwa sasa wanaume na wavulana wengi wanapaka na kujipuriza lotion na perfume za kike bila aibu mitaani akipita kama hujamwangalia utahisi kuwa ni mwanamke kumbe...
Katika kufanya kazi tunakutana na matukio yanayo gusa moyo na hili tukio ni moja wapo.
THE PERFUME
As she stood in front of her primary 5 class on the very first day of school, she told the...
Kwa wale waliobahatika kuona fashion parade ya Vida Mahimbo iliyofanyika Movenpick mwezi uliopita October 09, sasa mnaweza kujipatia nguo zenu za kiwango/ubora wa hali ya juu kama linavyosema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.