Kipindi nilipokuwa nasoma shule ya msingi kuona msichana akiwa amevaa gagulo ilikuwa jambo la kawaida kwani zilikuwa zimezoeleka kuvaliwa.
Hata wanawake wengine mtaa walikuwa wanavaa gagulo kama...
Habari wanajukwaa la urembo na utanashati.
Nikianza na wanaume hasa wale ambayo tuna rangi ya mtume kutoka dubai na Beards sehemu za usoni tumekuwa na changamoto hasa tunaponyoa hizi...
Wakuu nisaidien hili tatito huwa nikipaka mafuta ya Vaseline petroleum jelly usoni baaz ya sehem chini y jicho huwa pana washa kias flan tatizo n nin et?
Bei ya nywele za crotchet ni sh ngapi? Normally ina range vipi na bunda ngapi litatosha kwa kawaida, kwa wale ambao mnazisukaga hizi na bei ya kusuka ni 30,000 au wamenichuuza?
Wadau ghrama za wastani za kubadilisha maumbile ni kati ya dola 4,000 hadi dola 5,000.
kwa maelezo zaidi ya kimombo tafadhali pitia hapa chini.
=====
What is the cost of buttock enhancement...
Habari zenu wakuu na wakubwa shikamooni
Naomba niende kwenye mada.
Hivi vioo vya kwenye magari(hasa vya madirisha), vya majumbani (ambavyo nyumba nyingi tumezoea kuviona), vioo vya kwenye...
Salam ndugu zangu.
Kuna mtu unamkuta mchafu, nguo chafu, anakolala kuchafu, meno machafu, anapenda kukaa sehemu chafu, anapenda kula kitu kichafu, anapenda kuoga maji machafu, masikioni mchafu...
Habari za mchana waungwana,
Huwa najiuliza huyu aliyevumbua bra aliwaza nini? Hebu fikiria kusingekuwa na bra hivi tungeishije wanawake...
Yaani bila bra wengine tusingetoka ndani...
Kudos kwa...
Habari za mida hii wakuu, nadhani mko salama.
Ni dawa gani ambayo mtu akitumia anaongezeka mwili? Mazoezi ya kwenda gym siyawezi kwa sababu ratiba yangu hainiruhusu.
Pia kama ni suala la...
wakuu habarini.nimeamua kuachana na lotion na kuanza bidhaa za asil.nilianza kutumia mafuta ya almond kwel baada ya siku kadhaa,,niliona mabadaliko ngozi yang ilianza kubadilika kuwa lain ila cha...
Wakuu habari za weekend.
Rejea kichwa cha habari tajwa hapo juu.
Kutokana na mdogo wangu kuwa na chunusi za muda mrefu imepelekea USO wake kubaki na alama na makovu ya chunusi. Je ni njia ipi...
Habar wanajamvi..nmekua nikitokwa na mapele kila baada ya kunyoa ndevu...na vimekua vkiwasha je nawez kutumia njia gani ili kuzuia au kuondoa kabisa tatzo hili?
Habari zenu wazee baba
Holaaa holaaa mambo ni moto. Hatimaye harusi ya dada imekaribia na kama kaka wa makamo nimeambiwa lazima nivae suti.
Sasa basi ni lazima nitinge suti kali kimodo fulani...
Hapo zamani za kale, wengi waliamini kuwa mvi ni dalili ya kuwa na hekima na pia mvi ni kiashiria cha uzee!
Wale waliopata mvi mapema ujanani wengine waliambiwa kuwa hizo ni 'mvi za ukoo'! Kitu...
Wanajukwa,
Kumekuwepo na wimbi kubwa sana la wadada na wa mama kupendeza (kunawiri) siku hizi za miaka ya 2000 hadi sasa ukilinganisha na miaka ya 1980s, 1990s hadi 2000.
Nini siri ya urembo wa...
Ukiondoa wale ambao ni kama ugonjwa ila kwa wengine mliobaki ni uchafu na kutojijali.
Unakutana na bint mzuri kajipamba mwenyewe wanja , shedo , wigi , mikope na mikucha ya bandia, lakini...
Kufuga hizi nywele yataka moyo kwelikweli. Zinakera na kuujaza moyo hasira unakuwa mtu wa stress pasipokuwa sababu!
Kibaya zaidi huwezi kugundua kwamba ndizo zinazokupa stress hadi siku ukinyoa...
Nafikiri kwa kifupi tu.
Naambiwa akina dada miili yao ni sensitive yaani ukimgusa mdada hasa sehemu fulani za maungio ni rahisi kupandwa na ashki..
SASA SWALI LA KUJIULIZA...
Hivi ni kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.