Hivi wale watu wanakuaga na viuno laini ni wanakua wamezaliwa hivo walaini au ni mazoezi ?Kama ni mazoezi ni yapi hayo waweza kufanya kiuno kiwe laini....
Napenda hiyo shughuli kucheza, kutwerk...
Wakuu nawasilimieni nyote,
Moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu,
Nimejaribu kabla ya ku-post uzi huu kuona kama kuna uzi ulishawisilishwa humu wa namna/njia/dawa/mafuta maalum yasiyo na...
Mtindo mpya wa kuacha ndevu zilizo na mvi 'ulioibuliwa' na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe umeonekana kupata wafuasi baada ya Mbunge wa Rombo Joseph Selasini kuonekana katika mtindo...
Kuna wadada mpaka leo wanaamini kua sisi wanawake tunaweza kufanya kila kitu wanaume wanafanya,
My dear wewe unaweza kuvaa nguo ya ndani moja kwa wiki nzima?
Tukubali tu vitu vingine ni wao tu...
Jamani hili suala najiulizaga kila siku
Sijawahi kumuona mwanamke mwemba amejifunga kanga ila leo nimemuuliza rafiki yangu hili swali amesema kuwa wanaogopa eti wataonekana kama wana mguu mmoja...
Wale wanaopiga mswaki nje ya nyumba hasa wanaume tena kandokando ya njia huku wamevaa vibukta vifupi vimeishia kwenye mapaja na tumbo wazi sio ustaarabu.
Jana kwenye msiba wa Masogange (R.I.P) nilipata kuwaona wasanii wengi wakiwa nje ya studio za kufanyia shooting.
Wengi walikuwa na muonekano wao wa asili usioboostiwa na make ups.
Wengi kwa kweli...
Naomba mwenye ufaham mzuri wa list kamili ya vifaa kukamilisha salun ya kike anisadie. Nikijua bei ya kila kimoja kwa dar, zanzibar au mwanza nitashukuru.
Jana tulikuwa tunamzika brother Kizzo. Huyu jamaa alikuwa mtu wa watu kweli kweli. Katika umri wake aliyeishi duniani amegusa watu wengi waliokuwepo msibani watanielewa. Kila aliyesimama alisema...
Ivi zamani kidogo wanawake walikua wakivaa idadi ya nguo zisizopungua tano yaani sidiria, blause,chupi,underskirt, na skirt yenyewe ila sikuiz kuna wakati zinavaliwa nguo tatu chupi,suruali na...
Wadau habari zenu,
Naomba msaada kwa anaejua lotion/mafuta yatakayomfaa mwanaume ambae anaishi sehemu zenye baridi, maana hufifia sana rangi na kubadilika kuwa mweusi sana sehemu zilizo wazi(usoni...
Nipo maeneo flani hapa kuna bar nakula lunch yangu sasa hii bar bwana wadada wanavaa nguo fupi mno yani fupi.
Ila nimegundua kitu kimoja pamejaa wakaka na wababa wanaokula na wengine wanaibia...
Niliona juzi vijana wakitetea bwana mdogo mmoja ambae inasemekana ana miaka 20 aliepiga picha na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, dogo ana mwili mkubwa na amenenepeana sana.
Watu wakawa wanasema...
Habari yenu wana jamii forum nina dada yangu amenunua kipodozi hiki na hajui kama ni salama au lah na je kinaweza kikuwa na viambata hatati ? ntakuwa mwenye shukran kwa kijuzwa
Tukubali au tukatae lakini ukweli utabaki kuwa pale pale.
Wadada wote wenye nywele za bandia wana asili ya uchafu narudia asili ya uchafu. Nasema ni wachafu kwasababu nnapokwenda kuoga maji na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.