Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Jaman mnao uza vipodozi hapa.mwanza washaulini wateja wenu ambao ni wadada maana unakuta mtu mmoja anarangi zaid ya nne jaman? Sura ina rangi yake, mikono rangi yake,makalio rangi yake,mapaja...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Huwa natumia lotion inaitwa rubby ila nahitaji kubadilisha, mimi ngozi yangu kama inamafutamafuta japo sio sanaaa. Nahitaji lotion ambayo itanisaidia kuniondolea vidude flani vyeupe vinatokeaga...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wataalam wa ngozi tusaidiane. Nataka kuua ndevu kabsa mana zmeamua kuwa nyeupe au mvi mapema. ndevu zangu ni nying sana za kurundikana. Mtaalam wa salun kanambia hata magic powder ninayotumia kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba wadada mje hapa; iteni wenzenu tuongelee suala la "vigodoro" Kwanini tunanyanyapaana kuhusu shapewear jamani? Eti mtu anasema "ridhika na Mungu alichokupa". Kweli? Nywele za bandia weka...
5 Reactions
40 Replies
13K Views
Ni kweli unaweza kabisa comfortably ukawa na mwanamke aliyevaa wigi jamani? Shame on you guys. Sent using Jamii Forums mobile app
17 Reactions
423 Replies
39K Views
Baraka za muumba wa Mbingu na ardhi zikawe nanyi daima. Jamani naomba kuuliza..hv unaweza vaa harusini (mwanamke) Suruali ya kitambaa?yaani nivae suruali na top na kikoti juu? Nina harusi leo ya...
5 Reactions
58 Replies
7K Views
Ndugu wapendwa ninayo tenda ya kuuza Oriflame product.kama vile #lipsticks #soap bar #lotion #dawa ya nywele #dawa ya upele baada ya kunyoa ndevu #dawa ya miguu iliyopasukapasuka Navingine. Kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
...............
1 Reactions
32 Replies
6K Views
Wapenzi habari zenu? Nawapenda sana Haya nisaidieni mrembo mwenzenu nirembuke na mimi. Nahitaji steaming nzuri ya kufanya nywele zangu zijae. Nywele nimeweka dawa ya Olive Oil. Je, ni steaming...
0 Reactions
14 Replies
11K Views
Ndg zangu leo tuongelee aina za vifaa vya makup zilizobora na bei zake Naanza ...lipstic aina ya huda," hudumu masaa 24, no nzito ukipaka haiachi alama bei elf 5, Tuendendelee kujuzana vingine...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Maana ukija hapa Mwenge ninaposhinda akina dada wanaokuja kununua nguo/viwalo ama unaweza sema, yaani wameonekana kwa idadi ya kutosha kabisa wakiwa wamekata nywele kwa ule mtindo pendwa wa...
1 Reactions
79 Replies
20K Views
Habari za jumapili wanafamilia wa jf. Nina rafiki wa kike toka marekani. Amekuwa akinitumia zawadi mbarimbari laini mimi sijawahi hata kumtumia zawadijapo moja[emoji85]. Nimefikili na kuona ni...
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Tukio hilo hufanyika mara 1 kwa mwaka ambapo watu maarufu huvaa mavazi yenye taswira na ubunifu mbalimbali Onesho hili la #MetGala hufanyika mwezi Mei Jijini New York nchini Marekani kwa ajili ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Manunuzi ya kwenye mitandao yamerahisisha upatikanaji wa bidhaa ambazo zamani tuliwaona nazo celebrities kwenye magazeti. Hii kweli ni dunia ya utanda wazi. Wenye makampuni wamepunguza gharama...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Aisee jana kwenye Msiba wa Mzee wetu Mengi kulikuwa na Maajabu mengi sana mara Bashite aonyeshe kiburi cha uzima na pedo yake iliyochanika Magotini ilee lakini Kibaya zaidi ni namna Watu wengine...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Niko Mwanza kwa shughuli ya kutafuta rizk kwa wiki ya pili sasa. Kama ilivyo kawaida yangu kugeuka geuka pindi mwanamke mwenye chura akipita ili angalau nipige 'paper two'. Kwa kweli kwa sasa...
11 Reactions
59 Replies
11K Views
Dunia imebadilika na idadi ya wanaovaa extra size imeongezeka, ukubwa wa khanga umebakia ule ule. Unanunua khanga hata bila kuikata unapinda zote mbili lakini bado ni ndogo. Mbona vitenge...
17 Reactions
58 Replies
11K Views
Ni kitu kisichopingika kuwa mtu kuwa na muonekano mzuri anahitaji kuwa na umbo zuri pia. Wanawake hasa waliozaa huwa na matumbo makubwa yanayoharibu muonekano wao mzuri. Mazoezi haya yatakusaidia...
13 Reactions
42 Replies
19K Views
Mamboz!! Wanye uzoefu wa kazi za saloon/hair stylists natafuta Hair Texturizer,mwenye idea wapi naweza ipata naomba anielekeze. Nimezunguka KKoo maduka hawana na wengine hawana hata idea ni kitu...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom