Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Ladies and gentlemen tusaidiane kidogo hapa... Hivi ni njia ipi bora ya kumwambia mtu mwili wake unatoa harufu bila kum-offend? Ni opposite sex na mna mahusiano either ya kikazi (co-worker) ama...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Hello wapenda urembo, Kuna mtu aliyewahi kutumia scrub ya mafuta ya Nazi original pamoja na kahawa? Nimeambiwa kuwa Ni nzuri, lakini Mimi uso wangu ni was mafuta so iniletea rashes,lakin...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Habari zenu wapendwa, poleni na kazi na mihangaiko. Niko Dar, naomba mnisaide kuniambia sehemu nzuri ambako wanatengeneza rough dreads vizuri sana. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
21 Replies
9K Views
Unapopaka rangi ya mdomo unasababisha midomo yako kukosa uasili .Ipo namna ya kufanya ili kuirudusha katika hali yake ya kawaida Unachotakiwa kufanya;chukua kijiko Kimoja cha mafuta ya Olive au...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ukitaka ngozi yako iwe nyororo na ya kuvutia jaribu recipes hizo. Oatmeal ni kiboko sana katika ku smooth ngozi pua kutoa mabaka
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi vitu kiukweli mimi binafsi vinanichanganya, kama ambavyo hesabu logarithm zilivyokuwa zikinichanganya sekondari. Kwa wale wajuzi wa mambo hebu tuwekane sawa hapa, kuna tofauti gani kati ya...
0 Reactions
24 Replies
15K Views
Nisaidieni kupata njia ya kuondoa ndevu kwa mwanamke maana zimekuwa zikiota nakata ila zinarudi mara mbili zaidi ya awali. Mwanzo vilikuwa 2 nikavikata vikaja kama vi5 ni virefuu sasa naogopa...
0 Reactions
17 Replies
23K Views
Wakuu ni mbinu gani nitumie ili kuondoa makunyazi usoni!?maana kila time naonekana kama nimekasirika kumbe sio
3 Reactions
46 Replies
13K Views
Alisikika ray kigosi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
0 Reactions
61 Replies
24K Views
Wakuu napenda sana kunyoa upara na ninapenda kuwa na upara unaong'aa sana. Huwa nanyoa upara lakini hauwi ule wa kung'aa. je kuna mafuta ya kufanya upara ung'ae au kuna mashine maalum za...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habar wapendwa....nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne lakin toka amalize shule katokewa na mapele usoni mpka anatia huruma sasa anataka kutumia nai beauty lotion kwa anaeifahamu hii losheni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau kama kuna mtu anajua dawa ambayo inasaidia kuotesha mindevu ikajaa..maana kuna rafiki yangu anataman sana kuwa na ndevu nyingi...vindevu vyake vya kidevuni vimechomoza viwili tu...anatamani...
0 Reactions
31 Replies
34K Views
Sitaki kusema mengi ila kama ni mwanaume Mimi tu ndo zinanipa tabu basi sinabudi kuvumilia. Kiukweli nikikutana na mdada amevaa hizi awe mwembamba au mnene napata shida Sana hasa ukute shape...
1 Reactions
39 Replies
10K Views
Habari wakuu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom