Hivi baadhi ya wadada huwa wanafanya nini na hizi ball dresses baada ya shughuli maalum?!
Huwa wanauza ama?!, maana kuivaa nguo kama hii mara mbili wadada wa mujini huwa wanadai "it's cheap"
Habari wana jamvi.
Naomba kuelekezwa mafuta mazur ya nywele kwa wanawake, yenye kukuza, kujaza, kunenepesha, na kuifanya nywele iwe na rangi yake asili.
Niombe kutajiwa jina na bei yake...
Nauliza hivyo maana nilikuwa nimepanda hiace nimekaa na dada siti moja ameyashonea hayo madubwasha yanatoa harufu kali.
Halafu sijui nani aliwadanganya kuwa yanawapendeza maana wengine...
Habarini za weekend ndugu zangu na polen na maisha ya Tanzania.
Back to the topic, naomba kujuzwa hivi kwanini nguo aina za madera ambayo huvaliwa na wakina mama au wakina dada yamechukuliwa kama...
Habari wajuvi,
Nikichana nywele kichwani hua panatoa vumbi nilizani labda ni wingi Wa nywele kichwani hivyo basi nikamua kuachana na ufugaji Wa nywele nyingi na kuanza kutumia aina mabalimbali...
World
News
Queen Elizabeth Makune is Miss Tanzania 2018
By Missosology -
September 10, 2018
0
232
Queen Elizabeth Makune was crowned Miss Tanzania 2018 during the finals held September 8 at the...
Lemutuz Aikosoa Vibaya Miss Tanzania "Aibu ya Gari Mmejiletea Wenyewe Mlipoamua Kuwashambulia Miss Lake Zone"
William Malecela aka Lemutuz ameonekana kutofurahishwa na zawadi ya gari aliyopewa...
Hii biashara ya kupaka kucha na kuosha miguu wanawake kwakweli ina maswali mengi???
1.Kwanini wanaofanya kazi hii wengi ni wanaume tu??
2.Ama kuna Jambo lingine muoshwaji anapata mbali na...
Nina siku kadhaa tangu niache kuogea sabuni. Maji yenyewe haya ya kisima, ukioga unajikuta umepaukaa.
Katika kujaribu jaribu kuboresha hali ya bafuni, nikaanza kuogea backing powder! Weee, the...
Hey guys hili swali nimeulizwa na mtu PM nimeshindwa hata kumjibu
Siku hizi kumekuwa na mijadala mingi kuhusu kujichubua kwa losheni, vidonge au sabuni. Maana kuna wimbi la wanaume na wanawake...
Who knew that being a convicted murderer could land you the esteemed title of Miss Jail, an award doled out by the Racife, Brazil womens prison? The yearly contest is based on beauty, knowledge...
Huyu mdada anaitwa Gracyane Barbosa ni mrembo wa kibrazil amejikita kwenye udansa na mazoezi yani fitness model.
Je, ni sahihi kwa mwanamke kufanya mazoezi na kuvimba kama hivi?
Gracyanne...
IMEKUWA ni kawaida kwa akina dada wa siku hizi kupenda kuwa na makalio makubwa kwa kile wanachoamini huchangia kuvutia wanaume. Huenda kuna ukweli juu ya madai hayo ingawa bado hakuna utafiti...
Jamani mi napenda sna perfume, tena sana. I have many diffrnt prfumes in my wardrobe. My favourite ar
: 212 sex by Caro Herera
: Midnite fantansy by Britney Spear
: Glow after dark by J.lo
...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.