Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Hivi baadhi ya wadada huwa wanafanya nini na hizi ball dresses baada ya shughuli maalum?! Huwa wanauza ama?!, maana kuivaa nguo kama hii mara mbili wadada wa mujini huwa wanadai "it's cheap"
10 Reactions
41 Replies
6K Views
  • Redirect
Habari wana jamvi. Naomba kuelekezwa mafuta mazur ya nywele kwa wanawake, yenye kukuza, kujaza, kunenepesha, na kuifanya nywele iwe na rangi yake asili. Niombe kutajiwa jina na bei yake...
1 Reactions
Replies
Views
Nauliza hivyo maana nilikuwa nimepanda hiace nimekaa na dada siti moja ameyashonea hayo madubwasha yanatoa harufu kali. Halafu sijui nani aliwadanganya kuwa yanawapendeza maana wengine...
14 Reactions
151 Replies
13K Views
Habarini za weekend ndugu zangu na polen na maisha ya Tanzania. Back to the topic, naomba kujuzwa hivi kwanini nguo aina za madera ambayo huvaliwa na wakina mama au wakina dada yamechukuliwa kama...
2 Reactions
70 Replies
28K Views
Kama kuna mtu amewahi kutumia hizi bidhaa tafadhali Jee ni kweli zinafanya kazi mwilini? Jee zinang'arisha ngozi? Kuna mtu amewahi kutumia?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Redirect
Habari wajuvi, Nikichana nywele kichwani hua panatoa vumbi nilizani labda ni wingi Wa nywele kichwani hivyo basi nikamua kuachana na ufugaji Wa nywele nyingi na kuanza kutumia aina mabalimbali...
0 Reactions
Replies
Views
World News Queen Elizabeth Makune is Miss Tanzania 2018 By Missosology - September 10, 2018 0 232 Queen Elizabeth Makune was crowned Miss Tanzania 2018 during the finals held September 8 at the...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Redirect
Lemutuz Aikosoa Vibaya Miss Tanzania "Aibu ya Gari Mmejiletea Wenyewe Mlipoamua Kuwashambulia Miss Lake Zone" William Malecela aka Lemutuz ameonekana kutofurahishwa na zawadi ya gari aliyopewa...
1 Reactions
Replies
Views
Hii biashara ya kupaka kucha na kuosha miguu wanawake kwakweli ina maswali mengi??? 1.Kwanini wanaofanya kazi hii wengi ni wanaume tu?? 2.Ama kuna Jambo lingine muoshwaji anapata mbali na...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Nina siku kadhaa tangu niache kuogea sabuni. Maji yenyewe haya ya kisima, ukioga unajikuta umepaukaa. Katika kujaribu jaribu kuboresha hali ya bafuni, nikaanza kuogea backing powder! Weee, the...
1 Reactions
17 Replies
7K Views
Habari,naomba ushauri nivae nguo rangi gani,Viatu gani,ninyoe style gani ili nipendeze? Muonekano wangu mwembamba kiasi,sio mrefu sana,mweusi, nitashukuru Sana
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hey guys hili swali nimeulizwa na mtu PM nimeshindwa hata kumjibu Siku hizi kumekuwa na mijadala mingi kuhusu kujichubua kwa losheni, vidonge au sabuni. Maana kuna wimbi la wanaume na wanawake...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
_
0 Reactions
0 Replies
464 Views
Who knew that being a convicted murderer could land you the esteemed title of “Miss Jail,” an award doled out by the Racife, Brazil women’s prison? The yearly contest is based on beauty, knowledge...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=28797&d=1304245651&thumb=1&stc=1
0 Reactions
26 Replies
11K Views
Hii mitindo inayokuja ya kinadada itatusababishia ajili nyingi sana au tutengenezewe miwani zenye side mirrors
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Huyu mdada anaitwa Gracyane Barbosa ni mrembo wa kibrazil amejikita kwenye udansa na mazoezi yani fitness model. Je, ni sahihi kwa mwanamke kufanya mazoezi na kuvimba kama hivi? Gracyanne...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
IMEKUWA ni kawaida kwa akina dada wa siku hizi kupenda kuwa na makalio makubwa kwa kile wanachoamini huchangia kuvutia wanaume. Huenda kuna ukweli juu ya madai hayo ingawa bado hakuna utafiti...
0 Reactions
14 Replies
42K Views
Jamani mi napenda sna perfume, tena sana. I have many diffrnt prfumes in my wardrobe. My favourite ar : 212 sex by Caro Herera : Midnite fantansy by Britney Spear : Glow after dark by J.lo ...
2 Reactions
128 Replies
39K Views
Back
Top Bottom