Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Hakuna mwanamke ambaye hajawahi kuvaa khanga, vilevile hakuna mwanaume ambaye hajawahi kufunikwa na khanga (utotoni si ulibebwa )....Yafuatayo ni maajabu ya khanga 1/Historia Asili ya vazi hili...
19 Reactions
326 Replies
151K Views
Heshima kwenu wadau. Katika uzi wangu uliopita nilielezea jinsi unavyoweza kutengeneza mwili bila kuingia gym. Mazoezi yale yalilenga mwili wa juu, yaani kifua, mikono na mabega. Jinsi ya...
29 Reactions
100 Replies
80K Views
Niko hapa Mwanza na ninashuhudia Vjana kwa Wazee, akina Mama kwa wasichana wakienda kupata huduma kwenye Sauna. Kwa ufahamu wangu mdogo sauna ni vyumba vilivyotengenezwa kitalaam ambapo...
4 Reactions
27 Replies
11K Views
Nilivyoambiwa huyu ni Me kiukweli nilibaki mdomo wazi. Jamaa ni mrembo sana ata Dada zetu wengi hawamfikii
0 Reactions
90 Replies
16K Views
Kwa wale wenzangu wanaopenda make up tuongelee products ambazo unatumia,tips na routines. Ni product gani ambayo unapenda sana kuliko zote mfano me napenda bronzer .
7 Reactions
88 Replies
12K Views
Maliwato (choo na bafu) ni sehemu muhimu sana katika nyumba na ni sehemu inayohitaji usafi wa hali ya juu sana. Mara nyingi maliwato hujengwa kwa vifaa ambavyo ni rahisi kusafisha (tiles). Kama...
13 Reactions
14 Replies
12K Views
Napenda sana kuvaa buti, Yani huwa najisikia huru sana kuliko hata nikivaa Sneakers, Naweza nikavalia suruali za aina nyingi bila kuleta tatizo lolote, kuanzia jeans hadi kitambaa. Hivi sehemu...
4 Reactions
62 Replies
20K Views
Swali kwa wadau wote wa boxer. Swali jepesi sana. Mimi kawaida huwa na vaa boxer miezi 6 hadi 8 kisha ndo nafua huyo ni mimi. Siijajua kwa ninyi wadauu Kuwa mkwelii tu
2 Reactions
177 Replies
15K Views
Habari Wadau, Najua Kila Mmoja Wetu Anajua Au Ameshawahi Kuwaona Wapiga Nondo Wanavyokuwaga Na Viuno Vidogo - Yaani Kifua Daraja Wakati Kiuno Sindano. Sasa Nawezaje Kubalance Haya Mazoezi, Na...
2 Reactions
33 Replies
21K Views
Jamani naombeni design za mishono tofauti kama kumi kwa ajili ya wasichana wangu(miaka 19 mpaka 25). Kwa ajili ya harusi na send-off wao ni special guests nataka wafunike
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tanzania kuna wanawake warembo I see asikuambie mtu. Naamini ina warembo kuzidi nchi yoyote East Africa. Mtu atakuja,oooh...! Rwanda. Hao wanaokuwa kama warwanda wamo humu Tz yaani mpaka unaweza...
8 Reactions
29 Replies
6K Views
Habarini wadau Ni spray gani nzuri na yenye harufu nzuri ya kiume kwa matumizi mazuri ya sisi magentleman?
3 Reactions
171 Replies
60K Views
je kuna dawa ya kuondoa vinyweleo mwilini parmanent hasa maeneo kama miguuni,kwapani,tumboni
0 Reactions
34 Replies
17K Views
Jamani! Mbona naona vijana wa siku hizi wanazeeka haraka? Yani nikiangalia wazee wengi wana nywele nyeusi tii labda na vimvi vichache tu. Ila vijana sasa... Vichwa vimejaa mvi... Tena wengi ni...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
yanapatina maduka gani na bei zake nataka niyatumie kwa ajili ya miguu na mikono coz nina ngoz kavu sehemu hizo na pia dark spot kidogo pia kama mtu umetumia nitashukuru ukinipa feedback
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Siku ya pili katika ziara yake Uingereza, Donald na Melania Trump walikaribisha wageni wao katika chakula cha jioni. Gauni alilovaa Melania katika shughuli hiyo limebuniwa na kushonwa na Givenchy...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Hivi fundi aliyewashonea zile suti alikua hana futi kamba? Au alipoteza vipimo?Mbona amewashonea vijana wa taifa suti ngoko zote nje..na kwanini hawa vijana wengine hawajanunuliwa soksi. Ni ajabu...
5 Reactions
114 Replies
17K Views
Kwa wale wazee wa bata; hii wiki ni ya kukumbukwa sana maana kwa wale tuliokuwa hatujafunga tulikuwa wapweke sana kila kiwanja kilikuwa kimepoa: ila tokea eid todate mambo ni motoooooo..... hii...
0 Reactions
0 Replies
973 Views
Baada ya serikali kufanikiwa kwa asilimia kubwa kukataza mifuko ya plastic naomba sasa ikataze mawig na makeup Najua serikali ya awamu ya tano ni sikivu hvo naamini italifanyia kazi suala hili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sijawahi kufuga nywele japo kwa muda sasa nlikua natamani ila sasa naona ni wakati muafaka kufanya hivyo. Ni katika kubadili tu muonekano na kufanya kijana kua smart zaidi siunajua tena. Sasa...
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Back
Top Bottom