Safari yangu ya kuanza kutumia mafuta asili ya ngozi

hamisi nondo

Senior Member
Aug 21, 2011
192
172
wakuu habarini.nimeamua kuachana na lotion na kuanza bidhaa za asil.nilianza kutumia mafuta ya almond kwel baada ya siku kadhaa,,niliona mabadaliko ngozi yang ilianza kubadilika kuwa lain ila cha ajabu ikawa inakua nyeusi ila soft hapo ikanibidi nistop kutumia almond oil..nikapumzika kama wiki,,nikahamia kwenye olive oil pia nikawa napata matokeo yaleyale ya almond,,nikaja kwenye ya nazi pia mambo ni vilevile,,ktk kudodosa mitandaon nikaja kukuta kumbe mafuta hayo ukipaka unatakiwa ukae mbal na jua maana ukipgwa na jua yanasabisha ngoz kuwa nyeusi kwani jua linakua linayaunguza kwahyo ni mazuri kupaka usiku wakat wa kulala kisha asubuh unaoga unapaka mafuta mengine,,,sio kwamba weus ni mbaya hapana ila nataka kuwa na ngoz yang niliyozaliwa nayo sio nyeus wala sio nyeupe,,,kwa sasa nimeamia kwenye mafuta mengine mustard oil yananuka kama korie bado sijaanza kuona dosar zake haya yakileta shida naingia kwenye jojoba ,,kwa wale wazoefu wa haya mambo nakarbisha mawzo yenu na kama kun sabuni pia nifahamishen ila kwa sasa naogea sabun ya magadi alafu ngozi yangu pia haielwek kuna kipind napauka kama cjapak mafut na kuna kipind naweza nispake mafuta hata wki cpauki hasa kipindi cha joto
 
Ni jambo zuri kuachana na bidhaa zenye makemikali dukani na kutumia mafuta asilia. That's the way to go. Mimi pia nimefanikiwa kwa asilimia 95 kuachana na lotions na mafuta yenye ingredients za ajabu ajabu ambazo hata hazisomeki. Go on experimenting what works for you best,mafuta ni mengi sana. Ila ningekushauri ujaribu jojoba kabla ya mustard oil.
Kuhusu kupauka inawezekana ni hiyo sabuni ya magadi..they even get rid of natural oils produced by the body (skin). Nimeandika kwa uelewa wangu through experience. All the best in your natural journey.
 
Ni jambo zuri kuachana na bidhaa zenye makemikali dukani na kutumia mafuta asilia. That's the way to go. Mimi pia nimefanikiwa kwa asilimia 95 kuachana na lotions na mafuta yenye ingredients za ajabu ajabu ambazo hata hazisomeki. Go on experimenting what works for you best,mafuta ni mengi sana. Ila ningekushauri ujaribu jojoba kabla ya mustard oil.
Kuhusu kupauka inawezekana ni hiyo sabuni ya magadi..they even get rid of natural oils produced by the body (skin). Nimeandika kwa uelewa wangu through experience. All the best in your natural journey.

Sabuni gan ambayo ni ya kawaida ila ipo vizuri
 
Back
Top Bottom