Me yangu ilokua tab niliinunua kwa ham nilikua nataman tu kutumia tablet kizaazaa nikiwa mbele za watu kuipokea watu wananiangalia naona had aibu na vile nibebe handbag hata kwa safar zisizohitaj nibebe nikaona mzigo huuMimi ilikuwa iPhone 5 nilitamani iPhone 7 sasa Nina zote mbili.
Bibi kumbe kwenye fashion upo pia!Niliichoka halaf ilikua tablet mambo ya kubeba handbag kila napoenda nikaona tu nitafte kadogo
Nmekutamani bure zote mbiliMimi ilikuwa iPhone 5 nilitamani iPhone 7 sasa Nina zote mbili.
New version ni ujanja ujanja wa kuibia watu hela tuuu kwa sababu kama ni whatsaap,facebook,instagram,jamii forum e.t.c ni zilezile tu!!Kwahiyo kama kuna new version itasubiri kwanza shemeji?
Hapana mjukuu wanguBibi kumbe kwenye fashion upo pia!
Kwa tusivyoelewa hapa shem kitega uchumi tutaelewa tofauti kabisa...yani kila mmoja na laini yakeNiliongeza kitega uchumi kingine kwa hyo nilitaka kila kitega kiwe na line yake ikabd tu ninunue simu nyingne
Hapana shemu..ngoja niseme BIASHARA ..hahaha..hapo vipi?Kwa tusivyoelewa hapa shem kitega uchumi tutaelewa tofauti kabisa...yani kila mmoja na laini yake
Hapo swafii shem darlinHapana shemu..ngoja niseme BIASHARA ..hahaha..hapo vipi?
Me nimechoka kadogo natafta tablet NW nataman kubeba handbag namm....Niliichoka halaf ilikua tablet mambo ya kubeba handbag kila napoenda nikaona tu nitafte kadogo
Ungekuwa unatumia earphones kupokeleaMe yangu ilokua tab niliinunua kwa ham nilikua nataman tu kutumia tablet kizaazaa nikiwa mbele za watu kuipokea watu wananiangalia naona had aibu na vile nibebe handbag hata kwa safar zisizohitaj nibebe nikaona mzigo huu