Nilikuwa naapita mitaaa ya uzwazi ya hapa Jijini.. Manzese na Magomeni. Ukikutana na wanawake 10.. lazima tisa wamevaa vazi la dera.. Ukikutana na vijana 10 lazima 9 wamezaa tshirt za...
Wasalamu wakuu,
Ndugu zangu, Siku hizi naona kitambi kimeanza kujitokeza[emoji134] asikwambie mtu kitambi kina shida.
Naangaika jinsi ya kukaa, nalazimika kulegeza mkanda wakati nakaa...
Haya wale team ma feki ma wigs mjue watu weusi hatuhitajiki duniani,walishwapata kwenye kujichubua hadi mwenzenu akiwa mweusi mnamcheka utasikia eti mweuuuusiiiiiiiiii huku mmekunja na sura sasa...
Hey guys
Haya mafuta ya carotone yamekua maarufu sana hapa bongo kweli kweli
Kuna kuchupa kidogo kikubwa na kikubwa zaidi
Nimesikia kati ya hizo chupa ndogo kabisa ndo inaleta feedback ya haraka...
Mijanaume ya mkoa ikija Dar inaiga mambo za kike hadi saluni inaenda Mxieeww
Mbakigi makwenu Nyau nyie mnafanya hadi wanaume sisi wa Dar tuonekane majinga
Dar hatutak shoboooo sisi ni...
Imebidi niulize sababu nimejikuta nywele zimenyonyoka Kama nimenyolewa, banda ya kuweka curl baada ya miezi mitatu nikaweka DAWA ya movate ili nilainishe nywele coz nilikuwa nataka Kusuka yebo...
No shave November,
Nini maana yake?
Dunia ina mengi....
Hiki ni kipindi cha mwezi mmoja wa kumi na moja ambapo wanaume huweka utaratibu wa kuachia/ kutokunyoa ndevu zao kwaajili ya la kusave...
Wasalam..!
Kama nilivyo wasalimia kijana ni mgen kwenye huu mtandao, nimiez michache nimejiunga humu.
Hapo mwanzo nilikiua nasikia jamii forum, lakin rafiki yangu juz, tukiwa tunapata mbili...
Wanabodi nawasalimu sana!
Mi nimeshazeeka.
Mitindo ya vijana inanipita kushoto. Nambieni hiyo Pascal Wawa hapo, wa pili Kutoka kushoto, huo mtindo wake wa nywele mnaitaje huko Mjini, huku...
Kinauzwa $17million.
Kimetengenezwa na gold, patent leather, silk, na kupambwa na 236 diamonds.
15 carat flawless D-diamond center piece at the tip of each shoe.
Viko Dubai, ukihitaji Info zaidi..
Kama kichwa cha mada kinavyo eleza hapo juu sijawahi hudhuria interview yoyote hata ya ulinzi shirikishi kifupi sina experience yeyote kuhusiana na interview.
Mimi ni muhitimu wa chuo fulani...
Wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojiekeze mimi ni "ME", napenda sana kuzitunza na kufuga nywele zangu za kichwa..
So naomba kufahamishwa mafuta mazuri ambayo yatanisaidia kulainisha nywele...
Kama kuna kitu kimetushinda wababa wengi ni kujua mkeo anataka nini hasa kwenye ishu nzima ya mitindo ya nywele za kusuka, hebu pata darasa la bure hapa mitindo michache ili usibabaike shemeji...
Wakuu,
Kuna watu huwa wanatumia nguo za ndani kwa muda mrefu bila kununua mpya.
Kiafya, nguo ya ndani inabidi ivaliwe kwa miezi mitatu tu baada ya kuinunua, kisha itupwe au ichomwe moto...
Habari zenu jamani,mwenzenu chunusi zinaharibu kabisa urembo wangu nimekua na machunusi mpaka naona aibu kuonana na watu nisaidieni jamani nitumie nini mi ni mweusi sitaki kuwa mweupe kabisa...
Habari za asubuhi Wakuu. Bila ya kupoteza wakati nijikite kwenye mada tajwa hapo juu.
Ni asubuhi iliyonjema kabisa kila mmoja wetu akiwa na pirikapirika yake ya kujitafutia riziki ya kila siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.