fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,956
- 22,645
Habari zenu wakuu na wakubwa shikamooni
Naomba niende kwenye mada.
Hivi vioo vya kwenye magari(hasa vya madirisha), vya majumbani (ambavyo nyumba nyingi tumezoea kuviona), vioo vya kwenye madirisha au milango huwa vinatofautiana ubora?
Maana unaweza ukapita mahali ukajiangalia kwenye kioo cha mlango unajiona una bonge la pua lakini ukienda kwenye kioo cha nyumbani au salon unajikuta bonge la handsome kumbe sio kabisa.
Hivi hii inatokana na nini wakuu au ni mimi tu ndo naliona hili jambo?
Nawasilisha
Naomba niende kwenye mada.
Hivi vioo vya kwenye magari(hasa vya madirisha), vya majumbani (ambavyo nyumba nyingi tumezoea kuviona), vioo vya kwenye madirisha au milango huwa vinatofautiana ubora?
Maana unaweza ukapita mahali ukajiangalia kwenye kioo cha mlango unajiona una bonge la pua lakini ukienda kwenye kioo cha nyumbani au salon unajikuta bonge la handsome kumbe sio kabisa.
Hivi hii inatokana na nini wakuu au ni mimi tu ndo naliona hili jambo?
Nawasilisha