nilitumia niliwashwa balaa natengeneza mwenyewe siku hizi bora hata mnara au yale ya dina mariousNdio hayo ya nazi
Nami naomba unielekeze namna ya kutengenezanilitumia niliwashwa balaa natengeneza mwenyewe siku hizi bora hata mnara au yale ya dina marious
Ukitaka upate mafuta mengi inabidi utumie nazi nyingi... Inasemekana nazi mbovu ndo zinatoa mafuta mengi.Mkuu asante kwa mrejesho. Naomba maelekezo namna ya kutengeza.
Asante kwa maelekezo. Nitaleta mrejesho.Ukitaka upate mafuta mengi inabidi utumie nazi nyingi... Inasemekana nazi mbovu ndo zinatoa mafuta mengi.
Kwa majaribio anza na nazi tatu au nne.
> Pasua na ukune nazi zako, chuja tui zito (lisiwe jepesi sana) weka kwenye chombo kinachoonesha (transparent)
> Acha kwenye hicho chombo ili maji na tui halisi vijitenge. Maji yatatuama chini na tui jeupe litakua juu. Kwa uangalifu toa lile tui na maji yamwage. (Hii si lazima sana ila inaokoa mda na mkaa/gesi, unaweza bandika tui zima tu kwenye jiko)
> Weka tui kwenye sufuria na uweke jikoni lichemke. Lichemke mpaka kukauka ndo mafuta yatajitokeza,
Mafuta yakitokea, yahamishe kwenye chombo kingine na rudisha sufuria jikoni.
> Endelea mpaka hamna mafuta yanayotengenezwa tena.
> Mafuta yako yakipoa Weka kwenye chupa au chombo kisafi na yafunge.
Wengine kuna vitu wanaongeza ili kukata harufu ya nazi. Sifahamu hapo sababu sijawai jaribu. Naioenda ile harufu ya nazi.
Kuna njia nyingi za kutengeneza haya mafuta ila ile njia ya kutochemsha inasemekana si nzuri, mafuta yanawai kuharibika.
Habari.
Kwa wale mliotumia haya mafuta naomba mrejesho maana nataka kiyatumia.
Mamy umeyatumia mwilini ni mazuri? Kwa nini mwilini na si usoni?