Persol...u ll find t pharmacyHabari zenu jamani,,mwenzenu chunusi zinaharibu kabisa urembo wangu. Nimekua na machunusi mpaka naona aibu kuonana na watu. Nisaidieni jamani nitumie nini mi ni mweusi sitaki kuwa mweupe kabisa, msaada kwenu wadau
Inaitwa Persol mkuuNashukuru,,inaitwa persol ivoivo?? Persol au Secure t?? Sijakuelewa hapa
Ok...kila la heriAhsante sana,,natafuta leo leo
Kwanza huna ujauzito hapo ulipo, nayo ni sababu kuu ya kuotesha njugu mawe kwenye usoHabari zenu jamani,,mwenzenu chunusi zinaharibu kabisa urembo wangu. Nimekua na machunusi mpaka naona aibu kuonana na watu. Nisaidieni jamani nitumie nini mi ni mweusi sitaki kuwa mweupe kabisa, msaada kwenu wadau
Muulize basi mkuu watu wapate faidaPersol Gel nlikua naitumia sana utotoni, nilikua km fenesi, ila ziliisha tu automtically after kupita adolescent nlivyoota ndevu, maana hata ningepaka Sulphuric Acid ingedunda, ila kuna dawa moja alitumia jamaa flan hv nlikua nasoma naye ikatoa wiki tuu akawa smooth, hata sijui inaitwaje had leo
JamanPersol Gel nlikua naitumia sana utotoni, nilikua km fenesi, ila ziliisha tu automtically after kupita adolescent nlivyoota ndevu, maana hata ningepaka Sulphuric Acid ingedunda, ila kuna dawa moja alitumia jamaa flan hv nlikua nasoma naye ikatoa wiki tuu akawa smooth, hata sijui inaitwaje had leo
Weka picha au kama unaogopa kujulikana vaa miwani weka picha madoctor wajua wakushauri vipiHabari zenu jamani,,mwenzenu chunusi zinaharibu kabisa urembo wangu. Nimekua na machunusi mpaka naona aibu kuonana na watu. Nisaidieni jamani nitumie nini mi ni mweusi sitaki kuwa mweupe kabisa, msaada kwenu wadau
Hee kwani inakuwaje tena mbona wamtishaInaitwa Persol mkuu
Ni katube tu..made in Kenya
Unakuwa unapaka usiku tuu ( coz inauma na inababua kutoa sumu hizo za chunusi
Kiufupi ukianza kuipaka aibu weka pembeni