SUKITA lilikuwa shirika la kukuza Uchumi na Kilimo nchini. Kwa 100% lilimilikiwa na Chama.
Kutokana na ukosefu wa Ajira ni wakati sasa lifufuliwe ili utekelezaji wa ilani uendane na vitendo.
Wapendwa ndugu zangu, majirani, marafiki na familia ya wakulima wa mazao mbalimbali maeneo tofauti nchini,.
Habari za kazi, majukumu na maandalizi ya msimu wetu pendwa wa kilimo?
Nimewiwa...
Habari zenu wakuu, Mimi ni mtaalam wa kilimo na ufugaji nimeupata ujuzi huu kutoka katika chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine Morogoro.
Natafuta mtu ambaye anatamani kuwekeza katika kilimo cha...
Habari wakuu, me ni mkulima mchanga ndo nimeanza kilimo, nina swali, hivi kuna dawa ya kuzuia mimea ya mahindi yasiliwe na wadudu yakiwa shamba au nisubir kama nitaona wadudu ndo nipulize dawa!?
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imeridhishwa na usimamizi wa fedha ujenzi wa miradi ya Umwagiliaji katika mashamba ya Taasisi ya Utafiti wa Mbegu (TARI) pamoja na Mashamba ya Wakala wa Mbegu...
Mageuzi ambayo yamekuwa yakifanywa na Serikali ya Rais Samia yamekifanya Kilimo kuwa sekta kimbilio na ya kuaminika.
Ikumbukwe miaka michache Iliyopita Kilimo kilikuwa kinaonekana ni kazi ya...
Wadau naomba mnijuze kwa wenye uzoefu.
Huwa nikienda magogoni ferry kwenye soko la samaki naona ni biashara ambayo hailali. Hebu mnijuze nikitaka kufanya biashara ya uvuvi baharini nini...
Habari za mids hii
Siku Kama nne hivi zilizopita nimenunua vifaranga 7 aina ya saso , sijawahi kufuga kuku ndo nimeamua jaribu , baada ya kuwachukua nilinunua starter 1Kg ndo wanaila ila hapa...
Habari wakuu,
Nimepata link ya jamaa wa Mtwara anadai korosho zinanunuliwa 1000 kwa wakulima na kwenda kuuzwa 1900 kwenye maghala.
Hii ni Fursa wakuu natafuta muwekezaji mmoja tu chapchap...
Ninataka mbegu na siyo miche.
Mwaka huu nilinunua zaidi ya miche 50 lakini baada ya kuanza kuchanua maua, nimebaini mingi ni midume. Nimeamua kutafuta mbegu nisie mwenyewe.
Ni wapi ninakoweza...
Watanzania ni bahati mbaya huwa tunapokea furusa mwishoni kabisa au hadi tuone kwenye TV au tutangaziwe na kiongozi.
Matunda kama Dragon fruits ni moja ya matunda ambayo ni commercial na pia...
1)Eneo shamba lilipo
Kabla hujaanza kulima zao lolote, hebu kwanza angalia mahala shamba lako liipo. Je linafaa kwa kilimo au kulima zao ambalo unataka kulilima. Katika eneo lako hebu zingatia...
Katika mkoa ninaoishi( Iringa) mbegu ya mahindi inayofanya vizuri sana ni Dk 777, ikifuatiwa na DK 9089, japo mbegu za kampuni ya seedco namba 409 na 403 zinajitahidi pia. Hii ni kulingana na...
Wakuu leo nimeshangaa hapa home kuna jirani alikuwa amechimba kisima cha chemchem baada ya kukitumia miezi kadhaa akakifukia yapita sasa mwaka akaamua kufukua kakutana na masamaki ya kambale hivi...
Wakubwa salam.
Nipo Mwanza mjini hapa. Naomba kuelekezwa maeneo yanakopatikana maduka ya jumla ya pembejeo za kilimo.
Na pia naomba kujua bei mbegu za mahindi Kwa mfuko wa kilo mbili. Aina ya...
Wanajanvi Salaam,
Matumaini ni muda muafaka wa kuingia shamba. Mimi ni mkulima wa mahindi lakini Kwa musimu huu naitaji kubadili kilimo. Mwaka huu nitajikita katika kilimo Cha mpunga.
Nikiwa...
Sungura ni mnyama mla majani, wanyama wala majani ni wanyama wa gharama nafuu kufuga maana huweza kula vyakula ambavyo wanadamu na wanyama wenye mfanano na binadamu hawali. Vyakula kama majani au...
Zao la nanasi ni zao ambalo kiasili ni zao linalovumilia ukame na ni zao ambalo la kibiashara lenye faida kubwa.
Kwa hapa Tanzania yapo maeneo mengi ambapo zao hili la nanasi linastawi ila katika...
Nilikuwa nasoma kitabu cha Marehemu Dr.Reginald Mengi kinaitwa
I CAN, I MUST,I WILL nikamnukuu akisema ndani ya kitabu chake tafiti zinaonyesha kwamba;
1. Bonde la mto Ruvu peke yake linaweza...