Naomba Ushauri wana jf.

frnk

Senior Member
Jun 19, 2012
160
12
Habar wana Jf, mi niko dar,Nahitaj kukopa mil.5 niweze iirudisha kwa riba ya miaka miwil au mitatu,je ni taasis gan au bank gan naweza wa consult,dhamana ni hat ya nyumba yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom