Hello wadau
mimi ni mfanyabiashara wa kati, nnauza tikiti maji kwa bei nzury na kwa uhakika (reliable). Tikiti zangu zinakuwa za kiwango cha juu sana na hata za kiwango cha kati ukitaka utapata, kwa idadi yeyote ile utakayohitaji.
Pia mimi ni mkombozi kwa wakulima, maana nnanunua matikiti kutoka shambani, kwa bei nzury tena kwa cash.
kwa yeyote aneihitaji au anaefaham mtu anaehitaji naomba tufanye mawasiliano
mimi ni mfanyabiashara wa kati, nnauza tikiti maji kwa bei nzury na kwa uhakika (reliable). Tikiti zangu zinakuwa za kiwango cha juu sana na hata za kiwango cha kati ukitaka utapata, kwa idadi yeyote ile utakayohitaji.
Pia mimi ni mkombozi kwa wakulima, maana nnanunua matikiti kutoka shambani, kwa bei nzury tena kwa cash.
kwa yeyote aneihitaji au anaefaham mtu anaehitaji naomba tufanye mawasiliano