Habari zenu wakuu, naomba mwenye ufaham fasaha juu ya ubadilishaji wa fedha za kigeni na yetu, nasikiaga watu wanafanya bishara yakubadilisha fedha kila kukicha mjini, je ni nani ambaye anajua...
heshima mbele wakuu.ninaomba kujua ni njia gan yakuaminika ninayoweza kuagiza eletronics(simu,laptop n.k)kutoka nje ya nchi(u.s,india na japani)..msaada tafadhali..
Kwa wanaohitaji vitabu vya elimu ya Ujasiriamali na Mafanikio kwa ujumla kwa ajili ya kufundishia au biashara (jumla tu) kuna kitabu chenye kichwa MAFANIKIO YA KIFEDHA. Kitabu hiki tayari kiko...
Mimi ni mjasiriamali, naendesha biashara zangu ktk eneo la Kariakoo Dar es salaam. Katika biashara yangu nimejikita zaidi kwenye kuuza/supply bidhaa za Stationery na Printing. Nimejikita kwnye...
Hope wazima, mi naomba msaada jamani, ninapenda sana kuanza duka la nguo mkoani,nimefanya marketing survey nimeona mkoani patalipa kuliko hapa dar, sasa ninataka kupata usaidizi maana nataka niwe...
Wakuu habari yenu
Aisee katika pita pita yangu humu niliona kuna post nyingi kuhusu ufugaji wa kuku zikieleza jinsi ya kufuga kuku na maelekezo yake kwa kina
Ila leo nilikuwa nina swali kuwa...
Nataka kufanyanbishara ya MPESa, Tigo pesa, uuzaji wa vocha za Startimes, DSTV, Dawasco nk. Nimeambiwa rahisi kupata zote kupitia kampuni ya Selcom. Kwa wenye uzoefu utaratibu upoje na je, inalipaje?
Amani kwenu wadau!..natumai wote ni wazima na mnaendelea vyema na majukumu!
nahitaji msaada kwa yoyote anayefahamu zaidi juu ya T shirts, Caps, Mugs and wheel covers printing business anipe...
Katika Hekaheka Za Utafutaji Niko Nje Ya Nchi
Nimeajiriwa Na sasa Nina Laki 3 Tsh...Ila Nahitaji Kurudi Tz Ili Nijiajiri.
Kwa Uwezo Wangu Mdogo Wa Kufikiri,ninampango Wa
Kujumua Viatu Mbeya...
Mimi ni mama ambaye niliamua kuingia kwenye uwakala wa mpesa na tigo pesa.
Nilianza kulipia mpesa jamani ni siku chache tu nimepata line yao, hongera mpesa.
Kuja kwenye tigo pesa nimelipia zaidi...
My company has teamed up with a Chinese Company (Green Energy Company)
The long term plan it to produce bio fuel but currently we are looking at cultivating maize, sugarcane, rice, sorghum and...
It feels a little awkward when you meet a client that asks for your website so that he can have a good understanding of your products just to learn you dont have one.
Many small businesses...
Im going to show you why you need to build your own business, and exactly what kind of business. But this isnt just about changing the type of business youre working with; its also about...
Wadau,
Watu wengi wamkuwa wakiuliza faida katika biashara ya radio, jibu hili hapa:-
1. Radio hungiza pesa kupitia matangazo. Kwa mikoa kama ya Dodoma, Arusha, Mwanza, shinyanga n.k tangazo moja...
hi ni company ambayo ilifunguliwa na baba yangu ambaye yeye ni marehemu but by the time he passed away ndo nilikuwa najiunga chuo so nikashindwa kuendeleza,company bado ilikuwa inalipiwa so babo...
habari zenu wadau. ninatafuta eneo la kulima maeneo ya wilaya ya ulanga kwenye bonde la mto kirombero ( ilagua). nilistushwa niliposikia kuwa kuna watu walioingia kwenye hifadhi ya pori la...
JAMANI NINAHITAJI MKOPO WA HARAKA SANA KAMA 5M HIVI .kuna mahali nimepata kiwanja chini ya hiyo bei sasa nataka nikinunue na kwa sasa nii invest kwenye kitu kingine nikabaki holaa nimewaza mpaka...
wakubwa mlioko dsm au pande yyt naomba msaada wapi nitapata viti imara vya plastiki na kwa bei gani, nataka ninunue ili niwe nakodishia watu kwa ajili ya shughuli mbalimbal, nitashukuru sana kama...
Welcome to Victory Mobile Network!Hi,
It's a pleasure to have you on-board. Hopefully, you'll subscribe to Victory Mobile Network sooner than later!
Our institution is dedicated to help young...