Japokuwa watu wengi wamekuwa wakiogopa changamoto za biashara ya Daladala lakini mimi sitaacha kamwe biashara hii labda ziungue zote na moto halafu niwe sina pesa ya kununulia nyingine.
Karibuni...
Pole na majukumu wana jamvı.Naomba mnisaıdie uelewa kwa kuniwezesha kufahamu juu ya upatikanaji wa soko la mkaa pamoja na asali jijini DSM.Pia changamoto ziambatanazo na bıashara...
Nimelima heka tano za matikiti mkoani pwani karibu na ruvu.
Yapo vizuri yanakuwa tayari ndani ya wiki moja ijayo..
Aina ya mbegu ni sugar king f1 hybrid.. wahi sasa tuwasiliane kwa oda..
Kazi kubwa sana unayohitaji kufanya baada ya kumpata mteja ni kuhakikisha anaendelea kuwa wako, yaani anaendelea kufanya biashara na wewe.
Wafanyabiashara wengi wamekuwa wakitumia nguvu kubwa...
Kwa wale wanaohitaji majogoo Chotara kwa ajiri ya parental stock(kuku wazazi),wapo jogoo 70 jamii ya black austrop,Rangi ya kanga,na mchanganyiko mwingine,jogoo hawa wana kama kilo 3,wanapatikana...
Habari!!!
Kuna mtu aliniagiza kutafuta soko la mbao nje, nimepata wanunuzi ila wame demand waone scanned copy ya vibali vyake vya biashara kwanza. Mpaka sasa vibali kutumwa imekuwa issue...
Salaam Kwenu Wakuu.
Ama baada ya salaam. Ningependa kutanguliza shukran zangu kwenu nyote kwa ujumla.
Kama mada inavyojieleza, naomba kujuzwa bei elekezi ya kuku wa kisasa wa nyama...
FURSA YA KIFEDHA KWA WAJASIRIAMALI WA KUKU NA MAHINDI
Je wewe ni mjasiriamali?
Je ungependa kukuza biashara yako?
Kama ni msindikaji wa chakula una kuku, mzalisha ji wa vifaranga...
FURSA YA KIFEDHA KWA WAJASIRIAMALI WA KUKU NA MAHINDI
Je wewe ni mjasiriamali?
Je ungependa kukuza biashara yako?
Kama ni msindikaji wa chakula una kuku, mzalisha ji wa vifaranga...
Mimi kijana mwenye miaka 24 niña elimu ya forma 4 natafuta kazi yeyote gente maslahi yakuniwezesha mimi kuendesha maisha iwe ya nyumbani hotelini su viwandani
Nahitajii mkopo wa kuanzisha biashara, sina assets kama kiwanja, nyumba hata gari.. Lakini nimekua nikitafutaa mkopo ili nianze biasharaa.. Na naminii kua nitaulipa tu kwa muda muafaka...
Agri Bisiness tunajishughulisha na vitu vifuatavyo
-tunatoa ushauri kuhusu kilimo
-tunaandaa bustani za kisasa (green houses )
-tunajenga mabanda ya kuku wa kisasa
-tunauza na kusupply mbegu bora...
Habari wa jukwaa!! Husika na kichwa cha habari pale juu, kuna wazo ambalo nimerifkiria nadhan watu wengi watafaidika kuhusiana na elimu ya mambo ya ufugaji na kilimo ambao watu wengi tunataman...
Habari za kushinda na kushindwa wanajamvi, Waungwana mi kijana nifanyakazi kwenye likampuni mmoja kubwa sana hapa but kiukweli sioni maisha yangu yakibadilika japo nina miaka 9 kazini yes nina...
Habari wana JF,
Mimi niko USA nafikiria kupeleka mabelo ya mitumba bongo kama ya viatu, jeans au mchanganyiko, na nataka kuuza kwa belo au jumla.
Swali langu ni hili;
Je, belo moja bei gani? Na...
Habari za siku wanajamiiforum,
Napenda kuwataarifu kuwa madaktari na wauguzi au manesi pia wale maphamasia na wale wanaopenda kuwa wajasiliamali kwa kufungua pharmacy shops au maduka ya dawa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.