Wakuu,
Nahitaji mtu ambaye tunaweza kuunganisha nguvu kwa pamoja awe na eneo tuanze ufugaji wa nguruwe.
Mimi naishi Dar, hilo eneo itakuwa vizuri likiwa Kibaha, Bagamoyo, Mkuranga au hata...
Soko la mbuzi wa rejareja..
WanaJF,
MimI huwa nafuata Mbuzi Handeni. Nilianza na wachache sana, sasa Mungu kanijalia naweza nikaleta hadi 10 au 8.
Sasa natafuta wateja wa rejareja!
habari wadau..
hivi hizi biashara vp? kwa maoni yangu ni kama inamnufaisha manufacture wa hizo bidhaa kumuuzia kinguvu bila sisi kujua..
maaana kuna watu wananishawishi kweli ila kila...
Nataka kuanzisha shirika litakalohusika na masuala ya mazingira. Mm ni mhitimu wa chuo kikuu shahada ya awali kutoka chuo cha hapa hapa nyumbani Tanzania. Naomba ushauri juu ya masuala ya msingi...
wakuu salaam sana
nina nyumba maeneo ya kibamba natarajie baada ya uchaguzi niiezeke .nahitaji
mbao 4x2 na 2x2 hapa naomba mnifahamishe bei na tofauti ya trited na zile za kupaka dudu killer...
Ndugu wanajukwaa!
Kwa yeyote anayehitaji mazao yatokanayo na mti wa Mlonge, anaweza kunicheki PM. Nipo Kahama, bei ni mbegu za Mlonge 500gm kwa Tshs.2000/=, majani Mlonge yaliyosagwa 1kg...
naomba kujuzwa mtaji wa kias gan wahitajika kuanza biashara ya asali kutoa kijijin kuleta mjin kama dar, na pia nahitaj kupewa ushaur juu ya hyo biashara na pia nipewe na changamoto ntazokutana...
1246
Je ungependa kukuza biashara yako?
Kama ni msindikaji wa chakula cha kuku, mzalishaji wa vifaranga, msindikaji wa nyama ya kuku, mzalishaji wa mbegu za mahindi, msindikaji wa mahindi, nk ...
Habari,
Kampuni yetu ya Central Park Bees Limited inakuja na Starter KIT iliyokamilika ya kukuwezesha wewe kuingia katika biashara ya ufugaji wa nyuki kwa njia ya kisasa na yenye mafanikio...
Habari wanajamvi,mimi nipo mkoani mwanza ninahitaji kuuza cement za dangote maana nimeona kwenye mitandao ya kijamii inabei nzuri sasa nitawezaje kuzipata so mwenye link yeyete ile naomba...
Mimi ninautalaamu wa kutengeneza mishumaa ila sijui maeneo ambayo wanauza material ya utengenezaji wa mishumaa kama kuna mtu anafahamu tafadhali nifahamishe nami
ndugu mjasiriamali na mfugaji leta mayai yako yenye ubora tukusaidie kutotoa ujipatie vifaranga vyako.
tupo tabata segerea dar es salaan.
bei zetu ni nafuu sana
0713219408
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.