Habari wanajamvi,mimi nipo mkoani mwanza ninahitaji kuuza cement za dangote maana nimeona kwenye mitandao ya kijamii inabei nzuri sasa nitawezaje kuzipata so mwenye link yeyete ile naomba...
Mimi ninautalaamu wa kutengeneza mishumaa ila sijui maeneo ambayo wanauza material ya utengenezaji wa mishumaa kama kuna mtu anafahamu tafadhali nifahamishe nami
ndugu mjasiriamali na mfugaji leta mayai yako yenye ubora tukusaidie kutotoa ujipatie vifaranga vyako.
tupo tabata segerea dar es salaan.
bei zetu ni nafuu sana
0713219408
Great thinkers wa Jf naombeni expirience na ushauri juu ya ukumbi mwenye uwezo wa kuchukua watu 300 tu, na jinsi utakavyoingiza pesa km kitega uchumi....
TUSHAURIANE
TrueCafe is a distributed system. It consists of server and client software.
Server software is a center of cyber cafe maintenance. It provides pricing, customer...
Habari wanaJf, naomba msaada wa sehemu ambayo naweza kuanzisha duka kubwa sana la hardware za UJENZI Dar es salaam, nitakuwa nauza kwa rejareja pamoja na kwa jumla na kwa Order pia.
Natumai kwa...
Hi Everyone,
My name is Mohammed, and I'm a 22 year old who is currently working a full time job as a IT Sales Support Engineer.
I have a satisfactory job and good salary. And I always believed...
Wakuu heshima kwenu, ninauza mashine 2 za kuoshea magari zilizofanya kazi miezi 8, zinatumia petrol, bei ni laki 8 kwa zote mbili. Nipo Mtwara mjini ni pm tufanye biashara.
Leo nataka kuongelea tatizo hili la nguvu za kiume mana saiv limekua tatzo kubwa sana na sio tatzo la kuchekana mana kwamfumo wetu wa vyakula tuliokua nao ni lazma weng wetu linaweza likakukuta...
Habari za jioni wadau natumaini mpo fine jaman naitaji kin'gamuzi cha azam TV kilichotumika wadau mwenye nacho naomba tuwasiliane kwa namba 255756417990
Habari msomaji wa uzi huu, naamini u bukheri wa afya njema.
Vijana wengi tumekuwa tukiwa na wazo zuri la biashara lakini swala kubwa au kikwazo ni mtaji, mwisho wake tunapoteza mwelekeo na...
Najua tumekuwa na mijadala mingi ya Uchaguzi sasa nafikiri kubadili muelekeo kidogo...
Naomba mtu mwenye uzoefu wa uendeshaji wa magari madogo kama kiriku na Hiace (daladala) anipatie uzoefu wake...
Goodevening ladies & gentlemen!
Disclaimer: I admit that this thread is of ultimate importance and genuine to my best knowledge.
Despite long-term efforts of starting an advertising agency...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.