bei zako zikoje? mbona unafanya matangazo ya biashara kihuni? weka beiSoko la mbuzi wa rejareja
Soko la mbuzi wa rejareja
mbuzi 1 = kuku wa kienyeji 6?...hivi hii ikoje wadau
tunakupataje? be serious!Soko la mbuzi wa rejareja..
WanaJF,
MimI huwa nafuata Mbuzi Handeni. Nilianza na wachache sana, sasa Mungu kanijalia naweza nikaleta hadi 10 au 8.
Sasa natafuta wateja wa rejareja!
Mbuzi,wanaanzia 90000,na wanapatikan maeneo ya kwa komba,mbezi,tanki bovu,