Ushauri: Nataka kuanzisha shirika

Ushauri: Nataka kuanzisha shirika

Cardinal06

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
963
Reaction score
327
Nataka kuanzisha shirika litakalohusika na masuala ya mazingira. Mm ni mhitimu wa chuo kikuu shahada ya awali kutoka chuo cha hapa hapa nyumbani Tanzania. Naomba ushauri juu ya masuala ya msingi nayotakiwa kuzingatia katika uanzishaji na uendeshaji, changamoto zake na masuala mengine yatakayokuwa na manufaa kwangu.
.
Nitashukuru kwa ushirikiano wenu wadau.
 
nimependa idea yako hasa ukizangatia jiji letu ''kongwe'' lilivyo chafu kama kilihafu.........
naimani utapata msaada zaidi kwa wadau...
 
...what size, coz changamoto,planning and all those issues zinaanzia kwenye ukubwa wa vision yako. if you want to be realistic katika b.plan yako you need to be specific and focused. idea with no limits will endup giving wrong results and hence failure of your business once started...
 
...what size, coz changamoto,planning and all those issues zinaanzia kwenye ukubwa wa vision yako. if you want to be realistic katika b.plan yako you need to be specific and focused. idea with no limits will endup giving wrong results and hence failure of your business once started...

Nmeshastructure mambo kadhaa sana hasa specificity ya majukumu na areas of operation lakini kuhusu masuala mengineyo ya uzoefu na vitu vinginevyo vya muhimu ambavyo siwezi kuvipata kwny maandishi mnaweza kunipa hapa pia
 
Nataka kuanzisha shirika litakalohusika na masuala ya mazingira. Mm ni mhitimu wa chuo kikuu shahada ya awali kutoka chuo cha hapa hapa nyumbani Tanzania. Naomba ushauri juu ya masuala ya msingi nayotakiwa kuzingatia katika uanzishaji na uendeshaji, changamoto zake na masuala mengine yatakayokuwa na manufaa kwangu.
.
Nitashukuru kwa ushirikiano wenu wadau.

Good Idea:
Pamoja na waliyoyazungumza wengine unatakiwa ujue yafuatayo:
1.Unataka kusajili katika ngazi gani? Wilaya au Taifa au Kimataifa.
2.Waanzilishi wa shirika ni vizuri wasipungue 10 jaribu kuwa "Gender Balanced"
3.Unataka kufanya kazi mjini,kijijini au Mkoani hii nayo ni muhimu wafadhili wengi wanapenda kufadhili miradi mikoani i.e rular areas.
4.Uwe na creative team...income generaters not fund seekers,commitment ya kutosha na uchapaji kazi.
Kila la kheri Mkuu
 
Good Idea:
Pamoja na waliyoyazungumza wengine unatakiwa ujue yafuatayo:
1.Unataka kusajili katika ngazi gani? Wilaya au Taifa au Kimataifa.
2.Waanzilishi wa shirika ni vizuri wasipungue 10 jaribu kuwa "Gender Balanced"
3.Unataka kufanya kazi mjini,kijijini au Mkoani hii nayo ni muhimu wafadhili wengi wanapenda kufadhili miradi mikoani i.e rular areas.
4.Uwe na creative team...income generaters not fund seekers,commitment ya kutosha na uchapaji kazi.
Kila la kheri Mkuu

Nashukuru mkuu.....nataka kusajili kwa ngazi ya mkoa kwanza kwa kuanzia ili nione kama tunaeza kuliendesha halafu ufanisi na mafanikio yakiwa mazuri tunaendelea kwa ngazi ya taifa.
.
Nategemea kufanya zaidi maeneo ya vijijini maana itahusika na project zitakazohusisha upandaji miti pia na kufuatilia maendeleo yake.
.
Hapo kwny income generation tumrshalifikiria.....tunafaham hatari ya kuwa fund seekers mkuu ndo maana kwa hatua fulani tutategemea funds lakn baada ya muda tutajitegemea.
 
Back
Top Bottom