Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wa wakuu, ni wapi hasa Dar if possible naweza kupata vanilla beans. asanteni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wadau, jaman nina shida na umoja wa wafugaji dar UFUKUDA, nataka kwenda office kwao ,sijuhi wako maeneo gani, naona huu umoja kama umekufa nataka nikawaamshe, wafugaji tunakufa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mo info nicheki +254717609960 Picha za Gypsum celling design
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Poleni na majukumu ya ujenzi wa nchi ndugu wana-jf. Naomba msaada wa utaalamu wa kilimo cha milonge. Nasikia ni tiba ya mambo mengi sna. Natanguliza shukrani
0 Reactions
32 Replies
24K Views
Waungwana wakubwa KWA wadogo wake KWA waume itifaki imezingatiwa, naja kwenu ndugu zangu ninaomba msaada wenu wa mawazo na ushauri,ninahitaji kujua/kufahamu juu ya kilimo cha mlonge na soko LA...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari za muda huu wana Jf, Mimi nimfugaji wa nyuki nipo Tabora, Nina lita 600 za asali mbichi, naomba anaefaham soko lilipo anijuze maana mwakaa huu naona neema imenitembelea kwenye mizinga...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bei ya glass moja ni kati ya 2500 na 5000 inategemea na uwingi wa glas au vikombe unavyo hitaji na uwingi wa maneno unayo yahitaji... piga 0714 045 080....
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naombeni ushauri wa biashara ya kufanya ambayo haiitaji usimamizi wa karibu kwakua mi ni mfanyakazi ambaye nifanya kazi full time kasoro weekend tu. Naomba ushauri wa kufanya biashara dsm...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natanguliza shukrani ya dhati sana kwa walioanzisha thread ya UFUGAJI KUKU ilianza mwaka 2009-2010 wakati huo milikua bado nanuka maziwa sikujua kama kuna siku moja nitatakiwa kuwa na maisha...
3 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu wangu!!! Nimelima vitunguu na vipo tayari lakini soko lake, kuna mmoja alikuja akasema nimuuzie kwa 60000 gunia, na kiukweli nahic itanikata sana. Nimelima hekali moja huko...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kichwa cha Habari hapo juu naomba kwa yeyoye anayejua namna bora yakuthibit panya wanaofukua mbegu na kuzila zikiwa bado chini ya arzi. Wamefukua mbegu zangu zote za tikiti. Natanguliza shukran
0 Reactions
3 Replies
4K Views
semina ya biashara itafanyika mby mbalizi. ukumbi wa royal tughimbe saa tisa alasiri jumapili hii tarehe 11/10/2015 karibu mafunzo ni bure. wasiliana nami 0753491777 au 0715167030 mwenyeji wako
0 Reactions
2 Replies
1K Views
INSIGHTS INTO THE MINDSET OF SUPER TRADERS – Part 14 “Most traders will quit and stay away from trading after blowing up a few trading accounts. But those with grit will constantly reflect upon...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
ELIMU BIASHARA NIMEWAONA... Kuna utofauti wa kusoma na ukaelewa, na kusomewa na kuelezewa. Walisema "Behind every succesful man there is a woman", wengine wakabisha wakasema aliyetunga alikua...
3 Reactions
2 Replies
3K Views
Ndugu wadau, kwakutumia aina yeyote ya mbao, nafanya finishing ya ndani kutumia mbao zilizotengenezwa kwa mashine maalum ya kazi hiyo! Bei hutokana na aina ya mbao mteja atakayo itaka itumike...
3 Reactions
20 Replies
8K Views
Wanajamvi Mimi napenda sana ufugaji hasa Huu wa kuku wa kienyeji..... Lakini huku mtaani kwetu kumekua na watu waliowahi kufuga na wakakaribia kufanikiwa kabisa kwakua na kuku zaidi ya 300...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajamvi Mimi nasoma sana topic zenu za ufugaji kuku hasa wa kienyeji name navutiwa sana kuwafuga ila nahitaji kujua he nikitumia chanjo inaweza kweli kulinda kuku Wang kwa ugonjwa kama...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
ELIMU BIASHARA NI CHANGAMOTO TU, USIHISI TULIANDALIWA KUFELI? Inawezekana katika maisha yetu tuliyokulia tangu tukiwa watoto tumekuzwa katika Maisha ya kuogopa au kuogopeshwa. Kila ukifanya kitu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kichwa hapo juu, ukipewa 500,000/= utaifanyia nini katika mazingira uliyopo ili baada ya siku au mda flani iwe msaada kwako? (neno binti litafsirike kuanzia miaka 18-25)
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Back
Top Bottom