Super H
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 1,070
- 405
wakuu salaam sana
nina nyumba maeneo ya kibamba natarajie baada ya uchaguzi niiezeke .nahitaji
mbao 4x2 na 2x2 hapa naomba mnifahamishe bei na tofauti ya trited na zile za kupaka dudu killer
nahitaji mabati ya kisasa bei tofauti niweze kuchagua kulingana na uwezo wangu .
nb kwa sasa nipo mwanza nikimaliza kupigia kura ukawa tu nitasafiri kwenda dar .
nawasihi ndugu zangu wa dar mnisaidie ushauri na bei
pls mod msiunganishe huu uzi na mwingine maana natumia simu
nina nyumba maeneo ya kibamba natarajie baada ya uchaguzi niiezeke .nahitaji
mbao 4x2 na 2x2 hapa naomba mnifahamishe bei na tofauti ya trited na zile za kupaka dudu killer
nahitaji mabati ya kisasa bei tofauti niweze kuchagua kulingana na uwezo wangu .
nb kwa sasa nipo mwanza nikimaliza kupigia kura ukawa tu nitasafiri kwenda dar .
nawasihi ndugu zangu wa dar mnisaidie ushauri na bei
pls mod msiunganishe huu uzi na mwingine maana natumia simu