Nipo ukerewe visiwani napenda kuwa wakara wa usambazaji wa sigara hapakisiwani kwani mtandao huo haupo hapa USHAURI wakuu nipate wapi wahusika wa hii biashara MSAADA
Agri Business tunajishughulisha na maswala yote ya kilimo. Pia tunatoa ushauri kuhusu kilimo, tunaanda bustani za kisasa (green house), tunauza madawa ya kilimo, tunatengeneza mabanda ya kuku wa...
Shikamooni mana wengi humu ni wakubwa kwangu
Naombeni kwa yoyote anaeweza kunipa mchango wa kimawazo kuhusu kuanzisha computer training centre wazo lolote lile litakuwa la maana kwangu
Wakuu,
Mwenzenu nimeamua kuingia katika ufugaji kama moja ya njia ya kuongeza kipato changu, na nitaanza na ufugaji wa FISI na BUNDI, nitakua nikiwauza abroad na kupata foreign currency ya...
Bata mzinga dume wanapatikana kwa Sh. 70,000 kwa ukubwa wa kati na Sh.150,000 kwa mkubwa kabisa. Kwa atakayehitaji anitafute kupitia namba hii: 0753249862. Mimi napatikana Dar. Karibuni sana
Get services of Business plans, research proposal writing, data collection, data entry, data analysis, and report writing
For more contact check through Email homeresearch12@yahoo.com
Look around your home and office and scan for problems that face your peoples around you and turn that problem into opportunity and if its real opportunities you can make money .
Habari za leo wajasiriamali,
Napenda kuwaletea biashara ya Pullets/kuku wa mayai ambao wametuzwa kwa uangalizi wa hali ya juu ma kulishwa chakula bora kabisa cha CP,wanapatikana kwa bei zuri...
kwa wale wanaohitaji huduma za kutengenezewa #music video #films , #documentary#TV program
#logo&posters#studio photos
Tunakukaribisha
AFRICAN HITS STUDIO.
Tupo tegeta.
phone: 0712973820 /...
MIRADI MIDOGO MIDOGO 15 YENYE KUZALISHA KIPATO KIKUBWA KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI
WANAFUNZI NA WANACHUO
STUDENTS WITH A MISSION
1.MLM: Hi ndio biashara moja ambayo wanafunzi wengi ulaya...
Habari wakuu, Nahitaji Kujiunga na kikundi chochote cha watu wenye malengo ya kufanya savings, kukopeshana, kushauriana, kubadilishana mawazo etc. Niko Dar na nimfanyabiashara. Note that am not...
Habari za humu wanajukwaa,
Kwa wale wazoefu juu ya bidhaa tajwa hapo juu nilikua naomba kujuzwa yafuatayo please:
*Ni wapi bidhaa hizo zinapatikan kwa Bei Rahis na zenye Ubora
*Bei za bidhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.