Electronics Capital
New Member
- Oct 7, 2015
- 1
- 0
Habari!!!
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mwaka wa kwanza. Niko katika hatua za usajili lakini nimepungukiwa laki 4 kukamilisha usajili. Mkopo kutoka bodi (HESLB) nimepata, ila kuingiziwa ni mpaka kukamilisha usajili (Itachukua kama wiki 3 toka kukamilisha usajili).
Nahitaji Mkopo wa haraka, ili nikamilishe usajili, nitalipa deni kutokana na hela ya mkopo nitakayoingiziwa. Niko tayari tuandikishane.
Unaweza kunipigia 0657942420
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mwaka wa kwanza. Niko katika hatua za usajili lakini nimepungukiwa laki 4 kukamilisha usajili. Mkopo kutoka bodi (HESLB) nimepata, ila kuingiziwa ni mpaka kukamilisha usajili (Itachukua kama wiki 3 toka kukamilisha usajili).
Nahitaji Mkopo wa haraka, ili nikamilishe usajili, nitalipa deni kutokana na hela ya mkopo nitakayoingiziwa. Niko tayari tuandikishane.
Unaweza kunipigia 0657942420