Spalulu
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 283
- 146
Habari wana Jf, nina kijibustani changu hapa nyumbani nimepanda mboga chache, sasa nimegundua ni zaidi ya mara mbili au tatu, kila nikimwaga mbegu za mchicha sisimizi wanashambulia mara tu mchicha ukianza kuota na hivyo hauendelei. Nitumie mbinu gani au dawa gani kuondoa sisimizi hawa?
Asanteni.
Asanteni.