TAASISI YA PEACE ADVOCATES FOR AGREEABLE ENVIRONMENTAL SOCIETY TANZANIA
Inawatangazia wananchi fursa ya mashamba ya kilimo biashara yanayoendeshwa kwa kilimo biashara na ufugaji wa kuku wa asili.
Mipango yote miwili ya kilimo na ufugaji inaendeshwa kwa kutekeleza sera ya uwezeshaji wa wananchi kiuchumi. Mpango kilimo biashara unahusisha mazao yafuatayo
1. MAHINDI
2. MIHOGO
3. UFUTA
4. ALIZETI
5. MTAMA
6. KARANGA
7. MATIKITI
8. MATANGO
9. MBOGA MBOGA
10. MPUNGA
Mpango kilimo na biashara utakuwezesha kupata kipato cha tsh. Milioni arobaini na tano (45,000,000) kwa mwaka. Mpango wa ufugaji kuku wa asili (kopa kuku lipa kuku) Utawezesha kupata kipato cha tsh. Milioni thelathini na tano (35,000,000) kwa mwaka. Jiunge leo upate suluhisho la kukuza uchumi wako na kipato chako. Wahi sasa fomu za kujiunga na mipango yote miwili zinapatikana ofisi za PEACE zilizopo makutano ya barabara ya MANDELA na CHANG’OMBE karibu na kiwanda cha SERENGETI BREWERIES mkabara na shuleya secondary ya KIBASILA.
Kwa mawasiliano -SIMU 0719691152 – 0716-555889
Msimu wa kilimo unaanza JUNI 2017
MWANANCHI UTANUFAIKA NA
1. HUDUMA ZA UGANI
2. SOKO LA UHAKIKA
3. MAFUNZO YA UFUGAJI NA KILIMO
4. PEMBEJEO ZA KILIMO KWA GHARAMA NAFUU
Inawatangazia wananchi fursa ya mashamba ya kilimo biashara yanayoendeshwa kwa kilimo biashara na ufugaji wa kuku wa asili.
Mipango yote miwili ya kilimo na ufugaji inaendeshwa kwa kutekeleza sera ya uwezeshaji wa wananchi kiuchumi. Mpango kilimo biashara unahusisha mazao yafuatayo
1. MAHINDI
2. MIHOGO
3. UFUTA
4. ALIZETI
5. MTAMA
6. KARANGA
7. MATIKITI
8. MATANGO
9. MBOGA MBOGA
10. MPUNGA
Mpango kilimo na biashara utakuwezesha kupata kipato cha tsh. Milioni arobaini na tano (45,000,000) kwa mwaka. Mpango wa ufugaji kuku wa asili (kopa kuku lipa kuku) Utawezesha kupata kipato cha tsh. Milioni thelathini na tano (35,000,000) kwa mwaka. Jiunge leo upate suluhisho la kukuza uchumi wako na kipato chako. Wahi sasa fomu za kujiunga na mipango yote miwili zinapatikana ofisi za PEACE zilizopo makutano ya barabara ya MANDELA na CHANG’OMBE karibu na kiwanda cha SERENGETI BREWERIES mkabara na shuleya secondary ya KIBASILA.
Kwa mawasiliano -SIMU 0719691152 – 0716-555889
Msimu wa kilimo unaanza JUNI 2017
MWANANCHI UTANUFAIKA NA
1. HUDUMA ZA UGANI
2. SOKO LA UHAKIKA
3. MAFUNZO YA UFUGAJI NA KILIMO
4. PEMBEJEO ZA KILIMO KWA GHARAMA NAFUU